TISEZA YATOA VIVUTIO KWA UPANUZI WA MRADI WA HOSPITALI MWANZA

Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imetembelea mradi wa Hospitali ya Kamanga Medics (Kamanga Medics Hospital) iliyopo eneo la Nyegezi jijini Mwanza, ambao kwa sasa uko katika hatua ya upanuzi. Hospitali hiyo inamilikiwa na wawekezaji Watanzania, ikiongozwa na Dkt. Rodrick Kabangila ambaye ni Mmiliki na Mkurugenzi Mtendaji wa mradi huo. Mradi…

Read More

MONGELLA AHANI MSIBA WA MGEJA

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi-CCM, Bara, John Mongella akiwa ziarani Mkoani Shinyanga amehani msiba wa aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga,Hamis Mgeja aliyefariki dunia tarehe 03 Novemba, 2025. Sambamba na hilo, Mongella akiwa ameambatana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Mabala Mlolwa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita,…

Read More

KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA SAMIA LEGAL AID YAJA KIVINGINE, SASA KUTOKOMEZA KABISA MIGOGORO YA ARDHI

Na Seif Mangwangi, Michuzi TV, Arusha  SERIKALI imesema imejiandaa kutokomeza kabisa migogoro ya ardhi nchini kupitia kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid inayotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni Jijini Tanga na baadae kuendelea katika Mikoa mingine. Akizungumza Jana Januari 30, 2026 Jijini hapa wakati wa kufunga Mafunzo kwa Mawakili wa Serikali kuhusu masuala…

Read More

Mwigulu ahimiza ushirikiano katika utunzaji na uhifadhi

Arusha. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, ameagiza wadau wa utalii, uhifadhi na Watanzania kushirikiana na kuendeleza utekelezaji wa mikakati ya uhifadhi kwa maendeleo endelevu na uchumi wa taifa. Aidha, amewataka Watanzania kuwa na utamaduni wa kuweka akiba ili waweze kufanya utalii wa ndani kwa kutembelea vivutio mbalimbali vilivyopo nchini badala ya kutegemea watalii wa nje…

Read More

Utitiri wa ving’ora barabarani: Serikali yatangaza hatua kali

Dar es Salaam. Serikali imetangaza kuanza kampeni maalumu ya kudhibiti matumizi holela ya ving’ora barabarani pamoja na matumizi ya namba za usajili wa magari zisizotambuliwa kisheria, hatua inayolenga kurejesha nidhamu, usalama na heshima kwa vyombo vya dharura. Tamko hilo limetolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, wakati wa ziara yake ya…

Read More

Chongolo: Tuna chakula cha kuhudumia nchi kwa miezi 18

Dar es Salaam. Wakati maeneo mbalimbali nchini yakiendelea kushuhudia mvua zinazonyesha chini ya kiwango na mengine kuwa makame, Serikali imesema akiba ya chakula iliyopo inatosha kuhudumia wananchi kwa miezi 18 itakapohitajika. Akiba ya chakula iliyopo sasa ya tani 550,000 ni zaidi ya kiwango kinachohitajika cha tani 150,000 kwa ajili ya kuhudumia wananchi wake kwa miezi…

Read More

Sikia hii ya Edgar William

BAO alilolifunga mshambuliaji wa Dodoma Jiji, Edgar William, juzi katika ushindi wa 1-0 dhidi ya JKT Tanzania, limemfanya kuweka raekodi ya kuwafunga maafande hao misimu miwili mfululizo, huku akiwa na timu mbili tofauti. Katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo jijini Dar es Salaam, Edgar alifunga bao hilo…

Read More

Waarabu wa Simba waomba sapoti Yanga

SIMBA inacheza nyumbani leo Jumapili dhidi ya Esperance de Tunis, lakini Waarabu wao hao wametua Zanzibar wakifuata mambo mawili ikiwamo Yanga. Mashabiki wa Esperance wametua Dar, kisha wakachukua ndege na kuja Zanzibar kwa lengo la kutalii kidogo kisha baadaye wakasema wangifuata Yanga uwanjani jana. Mashabiki hao wanajua kwamba mashabiki wa Yanga hawatapenda Simba ishinde na…

Read More