Mabomu kwa Uzuri, kutoka Gaza hadi Ukraine – Maswala ya Ulimwenguni

“Kusudi lilikuwa kubadilisha nishati hasi ya uharibifu kuwa nishati chanya ya uumbaji,” alisema mbuni wa Kiukreni Stanislav Drokin, ambaye hubadilisha vito vya vito kutoka kwa studio yake ya nyumbani, ya kazi huko Kharkiv iliyokumbwa na vita. Kama ulimwengu unaashiria Siku ya Kimataifa kwa Uhamasishaji wa Mgodiinazingatiwa kila mwaka mnamo Aprili 4, mipango inayoendelea ya kudhoofisha…

Read More

Watanzania wapania kuiteka gofu Mombasa

WACHEZAJI watano wa gofu kutoka Tanzania, wanatarajia kuondoka nchini mwishoni mwa juma kwenda kushiriki michuano ya wanawake iliyoandaliwa na Chama cha Gofu ya Wanawake Kenya (Kenya Ladies Golf Union), kuanzia Jumatatu, Agosti 5. Mashindano hayo yanayoshirikisha wacheza gofu wa kike kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwakilisha Kenya, Uganda na Tanzania na yatafanyika katika…

Read More

IGP WAMBURA ASISITIZA WELEDI NA KUTENDA HAKI

   Matukio mbalimbali Pichani yakimuonesha Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura akikagua gwaride na baadae akizungumza na maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali wa Mkoa wa Kilimanjaro Agosti 16,2024 ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi mkoani humo. IGP Wambura amewataka maofisa, wakaguzi na askari kuendelea kutekeleza majukumu yao ya…

Read More

Picha la Kibu linatisha, Yanga yachafua hewa

HABARI ya mjini kwa sasa ni kuhusu Kibu Denis ‘Mkandaji’. Ni kiungo mshambuliaji wa Simba anayemaliza mkataba wake kwa Wekundu wa Msimbazi hao na ameziingiza timu hizo kwenye vita kubwa na picha lake linatisha. Simba inataka kumwongezea mkataba. Yanga inataka kumhamishia kwa Wananchi. Ihefu nao wamemwambia aachane na timu za Kariakoo aendee akatulie mkoani na…

Read More

Uhusiano wa Tanzania, Czech wazidi kuleta matunda

Prague: Imeelezwa kuwa uhusiano wa kiuchumi kati ya Czech na Tanzania unazidi kuimarika kutokana na misingi imara ya ushirikiano wa kimataifa katika nyanja zote kwa sasa. Kauli hiyo imetolewa jana Jumamosi Januari 18, 2025 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, alipokutana na mwenyeji wake, Waziri wa…

Read More

Athari za mitandao ya kijamii kwa afya ya akili

Dar es Salaam. Watu wengi hivi sasa ni wapekuaji hodari wa mitandao ya kijamii ikiwamo WhatsApp, Instagram, Facebook, TikTok na mitandao mingine. Mwaka 2023 kulikuwa na wastani wa watumiaji bilioni 4.9 wa mitandao ya kijamii ulimwenguni, ikikadiriwa mtu wa kawaida kutumia wastani wa dakika 145 kwenye mitandao hiyo kila siku. Matumizi holela ya mitandao yanaweza kuathiri…

Read More

Mchakato mrefu unavyowakosesha bodaboda wengi leseni

Dar/mikoani. Mchakato mrefu wa upatikanaji wa leseni za udereva kwa madereva wa pikipiki na bajaji pamoja na tozo za Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra), vimetajwa kuwa chanzo cha uendeshaji holela wa vyombo hivyo. Hayo pia yanatajwa kuwa miongoni mwa sababu za madereva wengi wa pikipiki maarufu bodaboda kutokuwa na mafunzo wala leseni…

Read More