MWENYEKITI WA CHADEMA MWANGA AOMBA MSAJILI KUTENGUA MAAMUZI YA BARAZA KUU, AKIDAI KASORO ZA KIKATIBA

***** Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Wilaya ya Mwanga Lembrus Mchome amesema amemuomba Msajili wa vyama vya siasa kutengua maamuzi ya Baraza Kuu la chama hicho yaliyofanyika kwenye kikao cha Baraza Kuu kilichofanyika Januari 22, 2025 kwa kuwa kilikuwa na kasoro. Akizungumza na wanahabari leo April 8, Mchome amesema Baraza kuu halikuwa halali…

Read More

Nani awatetee wachezaji wa Tanzania!

Kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Hispania, Rodrigo Hernández Cascante maarufu zaidi kama Rodri, amegonga vichwa vya habari baada ya kauli yake ya kishujaa kwa mamlaka za mpira duniani. Akiwasilisha hisia za wachezaji wengi kama siyo wote wa Ulaya, Rodri amelalamikia utitiri wa mechi unaotokana na kupanuliwa kwa mashindano. “Nadhani wachezaji tunakaribia…

Read More

Watanzania 24 washikiliwa na Mamlaka ya uhamiaji Marekani

Dar es Salaam. Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani umesema Serikali ina taarifa rasmi ya watu 24 wanaoaminika kuwa Watanzania wanaoshikiliwa na Mamlaka ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) kwa kuishi nchini humo kinyume cha sheria. “ICE imetuarifu kwamba, watu wanne kati ya hao wameshakamilisha taratibu zote za kimahakama za kuondoshwa nchini Marekani, hivyo watarejeshwa…

Read More

Huku nako pamechangamka! | Mwanaspoti

ACHANA na Dabi ya Kariakoo iliyopigwa jana. Sahau kuhusu Simba Day na Wiki ya Mwananchi matamasha yaliyofanyika wikiendi iliyopita. Kesho na kweshokutwa huko mkoani nako kuna burudani ya kukata na shoka wakati klabu nne tofauti za Ligi Kuu zitakapofanya matamasha ya kuukaribisha msimu mpya wa 2024-2025. Mashabiki wa soka wa mikoa ya Kigoma, Singida, Mwanza…

Read More

January, Nape: Ilianza kwa Magufuli sasa kwa Samia

Catherine Haddon, raia wa United Kingdom (UK), ni mtaalamu wa uendeshaji wa Serikali. Catherine aliwahi kusema: “Some reshuffles are planned well in advance and some are sudden but, they all have the potential to go off-course.” Tafsiri yake ni kuwa; “baadhi ya mabadiliko ya baraza la mawaziri hupangiliwa vizuri mapema na mengine hutokea ghafla, lakini…

Read More

Hatari za kiafya kulala muda mfupi baada ya kula

Dar es Salaam. Katika maisha ya sasa, watu wengi wana ratiba zilizojaa shughuli nyingi, kiasi kwamba mara nyingi shughuli hizo huwa chanzo cha kurejea nyumbani usiku na kulala muda mfupi baada ya kula chakula. Hilo linaweza kuonekana kama jambo la kawaida, lakini ni muhimu kuelewa athari zinazoweza kutokea endapo utalala muda mfupi baada ya kula…

Read More