Mkutano wa NCCR-Mageuzi Sumbawanga wakwama, sababu yatajwa

Rukwa. “Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi, Ambari Haji Hamisi, ameshindwa kuhutubia mkutano wa kampeni katika viwanja vya Sabato Jangwani, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, baada ya kujitokeza wananchi wachache. Tukio hilo limetokea baada ya wananchi kutojitokeza kwa wingi kama ilivyotarajiwa. Hata hivyo, mkutano uliendelea kwa kuhutubiwa na wagombea wawili wa…

Read More

UN Chief Hails ‘mfano wa kushangaza’ wa Papua New Guinea wakati anahitimisha safari ya kihistoria – maswala ya ulimwengu

Akiwa ameshikwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, James Marape, Bwana Guterres aliuliza Maoni Alifanya wakati wa hotuba katika Bunge la Kitaifa Jumatano, ambayo alielezea Papua New Guineans kama “Mabingwa wa Multilateralism na Suluhisho za Kimataifa.” Katibu Mkuu alibaini kuwa, katika ulimwengu ambao “tunaona maadili ya kidemokrasia yakihojiwa,” nchi-ambapo lugha 800 zinazungumzwa-inashikilia upendeleo wa kutatua…

Read More

Mwenyekiti wa CCM Itilima afariki dunia

Simiyu. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, Mhuli Ngeleja amefariki Machi 18, 2026 huku CCM ikimtaja kama kiongozi shupavu na mwadilifu. Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Machi 20, 2026 na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenan Kihongosi, imeeleza kuwa chama kimepoteza kiongozi shupavu, mwadilifu na…

Read More

ZAIDI YA BILIONI 8 ZATUMIKA KUBORESHA MTANDAO WA BARABARA WILAYANI ARUMERU

📌Wanawake na Vijana  wajengewa uwezo ushirikishwaji wa vikundi  📌Barabara ya Zege yawa Mkombozi kwa wakazi wa Machumba-Nkoarua Arumeru Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini Tanzania (TARURA) imeendelea kuboresha na kukamilisha ujenzi wa barabara mbalimbali katika Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha, hatua inayolenga kurahisisha usafiri na kuchochea maendeleo ya kiuchumi kwa wananchi….

Read More

Salum Mwalimu atoa ahadi kwa wachimbaji akiomba kura

Katoro. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi mageuzi makubwa katika sekta ya madini kwa kuwalinda wachimbaji wadogo, hasa vijana, dhidi ya kile alichokiita ni unyanyasaji wa kuondolewa katika maeneo yenye rasilimali kama atachaguliwa. Amesema wimbi la unyanyasaji kwa wachimbaji hao limezidi, wanafukuzwa kwa nguvu na kunyimwa haki…

Read More