MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR- KUMUWAKILISHA RAIS WA ZANZIBAR- MKUTANO WA WATUNZA KUMBUKUMBU NA NYARAKA – DODOMA

    Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema kuwa utunzaji nzuri wa  kumbukumbu na Nyaraka unapelekea kwa kiasi kikubwa  katika kuchochea ukuaji wa uchumi na uwekezaji nchini.  Ameyasema hayo kwa niaba ya Rais wa Zanzibarna Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussen Ali Mwinyi katika Mkutano wa kumi…

Read More

DC MPOGOLO ATOA MAELEKEZO SIKU YA LISHE

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ameongoza maadhimisho ya Siku ya Lishe Duniani, ambayo kiwilaya yamefantika  katika viwanja vya Shule ya Msingi Majohe, huku akitoa maelekezo kadhaa. Akizungumza katika maadhimisho hayo, jijini Dar es Salaam,  DC Mpogolo, ameelekeza  chakula  kutolewa shuleni kuwa ni jambo lazima hivyo kuzitaka kamati za shule, maofisa elimu kata na…

Read More

Simba yatambulisha chuma kipya kutoka Zambia

Simba imemtambulisha rasmi Joshua Mutale raia wa Zambia anayecheza nafasi ya kiungo mshambuliaji kuwa mchezaji wao kwa miaka mitatu. Kiungo huyo aliyekuwa akikipiga Power Dynamos msimu wa 2023/2024 amefunga mabao matano na asisti tatu kwenye mechi 26 alizocheza. Mutale mwenye miaka 22 anamudu kucheza nafasi nyingi uwanjani tena kwa ufanisi kwani anaweza kucheza kama winga…

Read More

ACT Wazalendo yapaza sauti bajeti ndogo Wizara ya Maji

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimedai bajeti ya Wizara ya Maji ya 2024/24 iliyowasilishwa bungeni, haiakisi mpango wa wizara hiyo katika utekelezaji wa kufikisha huduma kwa Watanzania. Hata hivyo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema suala la ufinyu wa bajeti ya Wizara ya Maji litajadiliwa kati ya Kamati ya Bajeti na Serikali….

Read More

Hatima nafuu ya maisha mikononi mwa wabunge

Dodoma. Unaweza kusema hatima ya maisha ya Watanzania kwa siku 365 zijazo kuanzia Julai mosi, mwaka huu ipo mikononi mwa wabunge, ambao leo wanaanza kujadili mapendekezo ya Bajeti ya Serikali. Wabunge wanaanza mjadala wa bajeti ambayo tayari imeibua vilio vya kodi na tozo katika bidhaa na huduma kutoka miongoni mwao na kwa wadau wengine mbalimbali….

Read More

HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki – 1

MAGARI mawili aina ya Buty ya rangi nyeusi yalikuwa yakielekea kiwanja cha ndege kumpokea mgeni wa shani kutoka Ethiopia, Myra Christopher Lee, binti wa bilionea wa Kiingereza Christopher Isaac Lee. Mzee Christopher Lee, mmiliki wa kiwanda kikubwa cha saruji kilichopo Dar alikuwa na viwanda vingine vya saruji katika nchi za Ethiopia, Ghana na Afrika Kusini….

Read More