
Wananchi wahofia maporomoko Mlima Itende, mkandarasi awatoa hofu
Mbeya. Hofu imetanda kwa wananchi katika Mtaa wa Isonta Kata ya Itende jijini hapa kufuatia uchimbaji wa kifusi unaoendelea katika Mlima Itende wakiomba kuwepo tahadhari ili kuepukana na majanga ya kuporomoka kama ilivyotokea kwenye Mlima Kawetele. Hii ni baada ya kampuni ya CICO kufanya uchimbaji wa kifusi kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Itende…