



Dk Migiro Katibu Mkuu mpya CCM
Dar es Salaam. Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikiteua wagombea ubunge na uwakilishi watakaopeperusha bendera yake katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, pia kimemteua Dk Asha-Rose Migiro kuwa katibu mkuu wake mpya. Uteuzi huo umetangazwa leo Agosti 23, 2025 na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, makao makuu ya CCM, jijini Dodoma ikiwa…

Mjadala kutokomeza ukatili kijinsia kufanyika Zanzibar
Unguja. Zanzibar inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa saba wa viongozi mbalimbali duaniani kuhusu miji na maeneo salama ya umma, mjadala mkuu ukilenga kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana. Maeneo mengine yatakayojadiliwa ni namna ya kuanzisha na kuendeleza miji inayotumia teknolojia ya kisasa, kukuza utalii, biashara na uchumi wa buluu. Akizungumza na waandishi wa…


Rais Samia amteua Makalla RC Arusha
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi, Agosti 23, 2025 amemteua Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha (RC) kuchukua nafasi ya Kenani Kihongosi. Awali, Makalla alikuwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) nafasi ambayo Halmashauri Kuu ya CCM, imemteua Kihongosi kuishika. Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano…

Mastaa Stars waondoka CHAN kibosi
TANZANIA ikiwa mwenyeji wa CHAN 2024 ikishirikiana na Kenya na Uganda, imeaga mashindano baada ya kuondolewa na Morocco katika hatua ya robo finali lakini mastaa wa timu hiyo wamendoka na mkwanja wa maana usipime. Stars ya awamu hii ilikuwa na mvuto wa aina yake kuanzia namna inavyocheza na zaidi ikaweka rekodi ya kucheza robo fainali…

Hii hapa orodha kamili waliopenya ubunge, uwakilishi CCM
Katika kikao chake kilichofanyika leo Jumamosi, Agosti 23, 2025, NEC imepitisha majina ya wagombea watakaosimama majimboni kote nchini, sambamba na wawakilishi wa viti maalum kwa makundi maalum ya kijamii.

Makalla awekwa kando CCM, Kihongosi amrithi
Dar es Salaam. Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imemteua Mkuu wa Mkoa wa Arusha (RC), Kenan Kihongosi kuwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafuzo wa chama hicho. Kihongosi anachukua nafasi ya Amos Makalla ambaye ameachwa. Uteuzi huo umefanyika leo Jumamosi, Agosti 23, 2025 katika kikao cha Halmashauri Kuu kilichoongozwa na Mwenyekiti wa chama…

Watano kati ya 19 waliokuwa wabunge Chadema wateuliwa CCM
Dar es Salaam. Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imewateua miongoni mwa waliokuwa wabunge 19 wa Chadema kuwania ubunge. Wabunge hao baada ya Bunge la 12 kuvunjwa walihamia CCM na kujitosa kwenye majimbo. Walioteuliwa na majimbo yao ni Esther Matiko (Tarime Mjini), Ester Bulaya (Bunda Mjini), Hawa Mwaifunga (Tabora Mjini), Kunti Majala (Chemba) na…