CHATANDA ATIMIZA AHADI YA NG’OMBE WAWILI KWA MAGEREZA

……….. Na: Mwandishi Wetu, KOROGWE Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (MCC) na Mbunge wa Viti Maalum wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Mary Chatanda, ametimiza ahadi yake ya kutoa ng’ombe wawili wa maziwa kwa Magereza mawili ya wilayani…

Read More

Wanafunzi NM-AIST wabuni roboti la ukaguzi viwandani

Arusha. Wanafunzi watatu kutoka Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela (NM-AIST), wamebuni roboti lenye uwezo wa kukagua chupa za vinywaji katika mchakato wa uzalishaji viwandani. Mashine hiyo iliyotengenezwa kwa ushirikiano wa Profesa Anaeli Sam, Dk Judith Leo na Jared Nganyi, inafanya kazi kwa mfumo wa kunyanyua na kushusha, ikiwa na mkono wa roboti…

Read More

TUME YA UCHUNGUZI YAKUTANA NA ABDULRAHMAN KINANA

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Machi 2, 2026 imekutana na mwanasiasa mkongwe wa Chama cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Abdulrahman Kinana. Mkutano huo wa Tume na Kinana umefanyika katika ukumbi wa Tanganyika uliopo jengo la Benki Kuu ya Tanzania…

Read More

Mukrim Miranda kutimkia Singida Black Stars

SINGIDA Black Stars imejiondoa katika dili la beki wa TMA, Vedastus Masinde baada ya kuanza mazungumzo na Mukrim Miranda wa Dodoma Jiji. Iko hivi. Singida ilikuwa ya kwanza kumfuata Miranda, lakini baadae wakasitisha mazungumzo naye baada ya Pamba Jiji kuingilia dili hilo. Inadaiwa pia Pamba Jiji imesitisha mazungumzo na Miranda na sasa Singida imemrudia tena…

Read More

Majogoro aibuka mazoezi ya KMC, uongozi wafunguka

MUDA mfupi baada ya Mwanaspoti kuripoti kuwa aliyekuwa kiungo mkabaji wa Chippa United ya Afrika ya Kusini, Baraka Majogoro kuhitajiwa na KMC nyota huyo ameibukia mazoezi ya timu hiyo. Majogoro kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba na Chippa na tayari baadhi ya timu zimeonyesha nia ya kumhitaji ikiwemo KMC. Timu hiyo ikiwa…

Read More

Mkataba wa Nashoni, Simba upo hivi!

SIMBA imefanya umafia baada ya kumsajili kiungo wa Singida Black Stars, Kevin Nashon kwa mkataba wa miaka miwili zikiwa ni siku chache tangu walipogomewa saini yake. Simba kabla ya kufanya maamuzi ya kumsainisha mkataba wa awali wa miaka miwili Nashon, ilishafanya utafiti wa kujua amebakiza muda gani Singida Black Stars. Nashon alijiunga na Pamba 04/08/2025 …

Read More