Wafanyakazi wa Barrick washiriki NBC Dodoma Marathon 2024

    Baadhi ya wafanyakazi wa Barrick walioshiriki mbio za riadha za NBC DodomaMarathon 2024 wakifurahi baada ya kumaliza na kukabidhiwa medali za ushiriki Baadhi ya wafanyakazi wa Barrick walioshiriki mbio za riadha za NBC DodomaMarathon 2024 wakifurahi baada ya kumaliza na kukabidhiwa medali za ushiriki.Wafanyakazi wa kampuni ya Barrick nchini wameshiriki katika mbio za…

Read More

Gambo ajibu mapigo, madai ya Makonda

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kudai mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo haudhurii vikao, mbunge huyo amesema suala hilo linahitaji elimu kwa sababu yeye ni mbunge na ana vikao vya Bunge. “Mimi sio ofisa tarafa, siyo mtendaji wa mtaa wala kata, mimi ni mbunge wa…

Read More

Sillah awataja Kibu, Pacome | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Gibril Sillah amesema Simba na Yanga zinacheza kwa viwango vya juu, lakini inapotokea wanataka kucheza nazo kuna majina yanayowatisha kiasi cha kukaa chini na kujipanga kukabiliana nayo ili kuiwezesha timu yao kuwa salama. Nyota huyo raia wa Gambia amesema wakikutana na Simba ni ngumu kukwepa kuwafikiria Kibu Denis na Fabrice Ngoma…

Read More

Ajali Yaua Watu 6 Dodoma – Global Publishers

Watu sita wamefariki dunia na wengine 49 wamejeruhiwa baada ya ajali kutokea eneo la Chigongwe, Dodoma, usiku wa Machi 3, 2025. Ajali hiyo ilihusisha basi la AN Classic lenye namba za usajili T405 BYS, lililokuwa likielekea Kigoma, na lori lililoharibika barabarani bila alama za tahadhari. Mashuhuda wamesema mwendokasi wa basi huenda ulichangia…

Read More

CHAN yafungua fursa ya jezi za Stars Zanzibar 

WAFANYABIASHARA wa jezi mjini Unguja wameelezea fursa zilizopo hususan katika Michuano ya Mataifa Ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za ndani (CHAN), zinazoendelea kwa wenyeji Tanzania ikishirikiana na Kenya na Uganda. Wakizungumza na Mwananchi Digital, wafanyabiashara mbalimbali hasa wa jezi wameeleza michuano ya CHAN inayoendelea  jinsi itakavyowanufaisha kutokana na mwitikio wa uhitaji hasa wa timu…

Read More