MO aweka pesa Coastal Unio, yalamba dili la mwaka mmoja
COASTAL Union ya Tanga, mapema leo imeingia makubaliano ya mkataba wa mwaka mmoja na kampuni ya Mo Taifa kama mdhamini wa timu hiyo. Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi wa Masoko ya kampuni hiyo, Fatema Dewji amesema sababu ya kuidhamini Coastal ni pamoja na ubora na ushindani unaoendelea kuonyeshwa na timu hiyo katika…