Wadau wapendekeza njia kupambana na kukatika kwa intaneti

Dar es Salaam. Wakati watumiaji wa mtandao wa intaneti wakizidi kuongezeka nchini, wadau wa sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wameshauri watoa huduma hizo watafute njia mbadala pale inapotokea hitilafu. Msingi wa hoja hiyo umetokana na sakata la kukatika kwa mtandao wa intaneti Tanzania kwa zaidi za siku mbili kuanzia Mei 12, 2024 lililosababishwa…

Read More

Sababu Jeshi la Polisi kutajwa 10 bora Afrika

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi la Tanzania limetajwa kuwa miongoni mwa majeshi bora 10 barani Afrika kwa kuwa na weledi na kuheshimu haki za wananchi, utafiti wa Afrobarometer umebainisha. Katika kigezo hicho, Burkina Faso imeongoza ikifuatiwa na Morocco, Niger, Benin, Mali, Senegal, Tanzania, Madagascar, Mauritania na Mauritius. Mbali na kigezo hicho, pia Tanzania imeongoza…

Read More

Ligi ya Championship vita imehamia huku

WAKATI Ligi ya Championship ikibakisha mzunguko mmoja utakaopigwa Mei 10 ili kuhitimisha msimu wa 2024-2025, tayari Mtibwa Sugar na Mbeya City zimepanda Ligi Kuu, huku ‘Wanajeshi wa Mpakani’, Biashara United wakishuka daraja. Mtibwa Sugar ilikuwa ya kwanza kupanda Ligi Kuu Bara ikiwa na mechi mbili mkononi, kabla ya Mbeya City kuungana nao pia baada ya…

Read More

SERIKALI ITAENDELEA KUISIMAMIA SEKTA YA AFYA-MAJALIWA

*Ampongeza Rais Dkt. Samia kwa kuendelea kutoa vibali vya ajira sekta ya afya WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu itaendela kuisimamia na kuipa hadhi sekta ya afya ikiwemo kwa kutoa vibali vya ajira pamoja na kujenga miundombinu ya kutolea huduma hizo katika ngazi zote….

Read More

WAKAZI WA KIGOMA WAASWA KUJIHADHARI NA MIKOPO KAUSHA DAMU

Na Chedaiwe Msuya, WF, Kigoma Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, Kanal Anthony Mwakisu amewataka Wananchi kukopa kwenye taasisi za fedha zilizosajiliwa na Serikali na kutambulika kwa kuwa itasaidia kutatua changamoto zinazoweza kujitokeza kwa mkopaji kwa kuwa taasisi hizo zinaendeshwa kwa mujibu wa Sheria. Kanalı Mwakisu alitoa rai hiyo baada ya kukutana na wataalam…

Read More

Miili miwili ya walioangukiwa na ukuta yazikwa Dar

Dar es Salaam. Miili ya watu wawili kati ya wanne wa familia moja waliofariki dunia kwa kuangukiwa na ukuta wa nyumba waliyokuwa wakiishi imezikwa. Ajali hiyo ilitokea Mtaa wa Goroka B, Toangoma, mkoani Dar es Salaam. Miili mingine imesafirishwa kwenda mkoani Kigoma. Ajali ilitokea asubuhi ya Aprili 26, 2024. Waliofariki dunia ni Lidya Heza (21),…

Read More

Funga Kazi… Nyie Hamuogopi! | Mwanaspoti

UKIWA shabiki wa Yanga leo una jambo moja tu la kufanya kama ni siku ya kuabudu basi nenda kwanza kamshukuru Mungu, kisha ukitoka kaivae uzi wa klabu hiyo, weka fedha mfukoni na usisahau tiketi yako na ukiona vipi beba na vuvuzela kwena kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kitachoendelea huko unakijua. Ndio, si unajua kwamba Wananchi…

Read More