M23 walivyosaini mkataba wa amani na kuugeuka-4

Katika matoleo yaliyopita, tulichunguza chimbuko la kundi la waasi la M23 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na athari zake zilizosababisha taharuki nchini humo.   Pia, tuliona baada ya juhudi za jumuiya ya kimataifa, jioni ya Desemba 12, 2013, DRC ilisaini mkataba wa amani na M23 uliolenga kuleta maridhiano, uthabiti na maendeleo eneo la mashariki…

Read More

RC DENDEGO AELEZA MAFANIKIO YA MKOA WA SINGIDA

..,………. Na Ester Maile Dodoma  Bilioni 30 zimekusanywa kutoka kwenye shughuli mbalimbali na kuongeza pato katika mkoa wa Singida kwa kipindi cha miaka minne. Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkoa wa Singida Halima Dendego leo 04 julai 2025 katiak ukumbi wa idara habari maelezo jijini Dodoma wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari kuhusu…

Read More

Aliyemlisha mkewe kinyesi atupwa jela miezi 12

Musoma. Jeshi la Polisi mkoani Mara limewafikisha mahakamani watuhumiwa 36 wa makosa mbalimbali ya ukatili wa kijinsia, akiwemo Nyaikorongo Mwita aliyedaiwa kumlisha kinyesi mke wake, baada ya kumpiga na kumjeruhi. Akisimulia tukio hilo leo Ijumaa Juni 7, 2024 wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi wa jeshi hilo kwa mwezi Mei 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More

Jukata lachambua sheria za uchaguzi, lataja kasoro 11

Dar ea Salaam.  Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), limebainisha kasoro 11 zilizopo katika sheria za uchaguzi za mwaka 2024, likieleza baadhi ya vipengele vinaibua wasiwasi kuhusu uadilifu wa mifumo ya uchaguzi. Miongoni mwa kasoro hizo ni kuendelea na makamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, kutumia watumishi wa…

Read More

Msimu umeisha, boresheni viwanja sasa

MSIMU unapomalizika, ni fursa nzuri kwa wachezaji kupumzisha miili baada ya kuitumikisha kwa zaidi ya miezi nane kama sehemu ya kuwajibika kwa timu zilizowaajiri. Viongozi wa timu na maofisa wa mabenchi ya ufundi, wanakitumia kipindi hiki kuboresha vikosi vyao kwa kuwaondoa baadhi ya wachezaji ambao wanaonekana hawawezi kuwa na mchango mkubwa kwa timu na kuingiza…

Read More

SOS yazikutanisha nchi nane kujadili hatma ya watoto

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Wadau kutoka mataifa manane ya Afrika wanakutana jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kutafuta njia za kuwasaidia watoto wanaolelewa katika vituo vya malezi mbadala kumudu maisha wanapotoka kwenye vituo hivyo. Mshiriki kutoka Zambia katika Mkutano Maalumu ulioandaliwa na Kijiji cha Watoto cha SOS, Clare Chilambo akizungumza na wanahabari wakati…

Read More

UNICEF yazindua programu ya Vijana kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi

  SHIRIKA La Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limezindua programu yake ya elimu endelevu inayoitwa “Vijana kwa Utekelezaji wa Mabadiliko ya Tabianchi,” ambayo inalenga kutoa elimu na uelewa kwa watoto na vijana ili washiriki  kikamilifu katika kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi visiwani Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Akizungumza na washiriki…

Read More

Hersi: Ugumu wa msimu umetufanya tufurahie

RAIS wa Yanga, Mhandisi Hersi Said amesema ugumu waliopitia msimu huu umewafanya leo kufurahia matunda. Hersi aliyasema hayo mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal 1, jijini Dar es Salaam wakitokea Zanzibar ambako Yanga ilishinda 2-0 dhidi ya Singida Black Stars katika mechi yao ya fainali ya Kombe…

Read More

Kwa nini vimbunga vingi hupewa majina ya kike?

Dar es Salaam. Ni jambo linalofikirisha pale unapokuta vimbunga vingi, dhoruba au tufani mara nyingi vinapewa majina ya binadamu, na zaidi yale ya kike. Hata kimbunga cha sasa, kinachotazamiwa kupiga katika pwani ya Bahari ya Hindi kusini mwa Tanzania kati ya Leo Mei 3 na Mei 6, 2024, kimeitwa Hidaya. Mbali na Hidaya, vipo vimbunga vingi…

Read More