Mzuka wa Expanse Kasino| nazidi kunoga

  Meridianbet wanakuambia mzuka unazidi kunoga huku kwenye Expanse, promosheni, yenye kutoa Mamilioni kwa wachezaji wote. Jiunge na   Meridianbet kasino upate bonasi ya ukaribisho ya 300%. Kupitia shindano la michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka Expanse zilizobakiza siku saba (07) tu , unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo…

Read More

Serikali yasema utapeli wa mitandaoni ni janga

Dodoma. Serikali imesema utapeli kwa njia ya mtandao bado ni tatizo huku ikaelezwa chanzo ni kukua kwa teknolojia. Hoja ya utapeli mtandaoni imebuka bungeni leo na Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson amesema haoni juhudi za kukomesha utapeli huo. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amesema hayo bungeni leo Januari 31, 2025…

Read More

Waziri Gwajima atoa neno kauli ya RPC Dodoma binti aliyebakwa, kulawitiwa

Dar es Salaam. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalumu, Dk Dorothy Gwajima amewataka wananchi kuwa watulivu kuhusu mwenendo wa washtakiwa wa kesi ya ‘waliotumwa na afande’, huku akiahidi haki itatendeka. Agosti 4, 2024 ilisambaa video katika mitandao ya kijamii ikionyesha vijana watano wakidaiwa kumbaka na kumwingilia kinyume na maumbile binti…

Read More

Chadema yatoa pole ajali iliyouwa 28, majina yawekwa wazi

Dar/Mbeya. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeungana na wadau wengine kutoa salamu za pole kwa familia zilizopoteza ndugu na jamaa katika ajali ya gari mkoani Mbeya. Ajali hiyo, imetokea usiku wa Jumamosi Juni 7, 2025 katika eneo la Mlima Iwambi, mkoani Mbeya na kusababisha vifo vya watu 28 huku wengine wanane wakijeruhiwa. Ajali hiyo,…

Read More

TAASISI YA ELIMU TANZANIA,KAMPUNI YA JOLLY FEATURES WAANDAA MAFUNZO KWA WALIMU SHULE YA MSINGI

Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) kwa kushirikiana kampuni ya Jolly Features wameandaa mafunzo kwa walimu wa shule ya msingi kuhusu mbinu za kufundisha Kiingereza ili kuwajengea umahiri utaosaidia wanafunzi kujifunza vyema. Mafunzo hayo ya siku tatu yalianza Mei 22, 2025 , huku yakihusisha walimu wa Darasa la Kwanza,…

Read More

Usher agombana na Kevin Hart jukwaani baada ya kuvamia tamasha lake bila mualiko

Kevin Hart alishangaza watazamaji huko Inglewood, California kwenye tamasha la Usher hii ni baada ya mchekeshaji huyo kutumbuiza bila shati, akimuiga Usher na kuimba ‘Nice & Slow.’ Usher alijiunga haraka na Hart jukwaani, na kumuuliza ‘Unafanya nini?!’ Hart  kisha alitania kuhusu makubaliano ya kuimba wimbo huo, kabla ya kuondoka hatimaye akazua maneno mengi mitandaoni. ‘Katika…

Read More