Azam yaanza na mbadala wa Fei Toto

HAWAJAWEKA wazi lakini tafsiri ya kiufundi ni kwamba Azam FC wako kwenye harakati za kujiandaa na lolote kwenye nafasi ya Feisal Salum ‘Fei Toto’ Staa huyo ambaye bado ana mkataba wa mwaka mmoja na Azam amekuwa akihusishwa na kujiunga na Simba, Yanga na Kaizer Chiefs msimu ujao ambapo kila mmoja kwa wakati wake anapambana kupata…

Read More

Makocha Yanga waipa ujanja Simba

INAWEZEKANA. Ndivyo walivyosema kwa nyakati tofauti makocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael na Hans van der Pluijm wakiamini Simba inaweza kupindua matokeo ya mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itakayopigwa nchini wikiendi hii. Vijana wa Fadlu Davids wanahitaji ushindi wa mabao 3-0 ili…

Read More

Polio inaweza kuenea isipokuwa chanjo zifike kaskazini yenye vita – Masuala ya Ulimwenguni

“Ni muhimu kukomesha mlipuko wa polio huko Gaza kabla ya watoto zaidi kupooza na virusi kuenea.,” alisema Louise Waterridge, msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi wa Palestina, UNRWA. “Kampeni ya chanjo lazima iwezeshwe kaskazini kupitia utekelezaji wa mapumziko ya kibinadamu.” Ili kukatiza maambukizi, angalau asilimia 90 ya watoto wote katika kila jamii…

Read More

Upungufu wa walimu unavyowaliza wazazi Mwanga

Mwanga. Wazazi katika Kata ya Kigonigoni iliyopo Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia upungufu wa walimu ikielezwa baadhi ya shule za shule za msingi zenye watoto wengi zina walimu wawili hadi wanne. Wilaya hiyo yenye shule za msingi 110, ina jumla ya wanafunzi 24,476 wa darasa la awali hadi la saba na hivyo kuwa na…

Read More