Waziri wa afya ataka mpango mkakati kusimamia usafi

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amesema ili kuepuka magonjwa ya mlipuko ameitaka Idara ya Kinga Wizara ya Afya kuimarisha mpango mkakati wa kusimamia suala la usafi wa mazingira katika majiji makubwa pamoja na maeneo ya mipakani mwa nchi. Waziri Mhagama amesema hayo leo Septemba 9, 2024 wakati wa kikao na Idara ya…

Read More

Mastaa hawa wako na familia

IKIWA imesalia siku moja kuuaga mwaka 2024 na kuukaribisha 2025, baadhi ya mastaa wa Tanzania wanaocheza nje ya nchi wako nchini kula likizo za sikukuu. Baadhi ya wachezaji ligi zao zimemalizika na wengine zikiwa zinaendelea wakipewa likizo ya muda kusalimia familia zao. Nyota hao ni pamoja na Kelvin John mshambuliaji wa Aalborg FC ya Denmark,…

Read More

Senene kutegwa na mashine | Mwananchi

Dodoma. Wazalishaji wa senene mkoani Kagera wanatarajiwa kuanza kutumia mashine maalumu za wadudu hao mara baada ya kukamilika kwa utafiti, kwa lengo la kuongeza ufanisi katika uzalishaji. Hayo yamesemwa jana Julai Mosi, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Fatma Mwasa wakati akielezea mafanikio ya minne ya  Serikali ya awamu ya sita. Mwasa amesema kuwa…

Read More

Watanzania wahimizwa kusoma vitabu wapate mbinu kukua kiuchumi

Dar es Salaam. Watanzania wametakiwa kuwa na utamaduni wa kujisomea vitabu kwa ajili ya kujiongezea maarifa ikiwamo mbinu za kujiendeleza kiuchumi. Utamaduni wa kusoma vitabu utaondoa dhana iliyozoeleka kwamba, ukitaka kumficha Mwafrika maarifa, yaweke kwenye vitabu. Hayo yamebainishwa na Kamishna wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila wakati wa…

Read More

Wasichana 10,239 waliokatisha masomo warejeshwa tena shule

Morogoro. Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Tanzania (TEWW) kupitia Mradi wa Kuongeza Ubora wa Elimu ya Sekondari (Sequip-AEP) imefanikiwa kuwarejesha shule wanafunzi wa kike 10,239 kutoka nchi nzima walikatisha masomo yao. Taarifa hiyo imetolewa na naibu mkuu wa taasisi hiyo anayeshughulikia taaluma, utafiti na ushauri, Profesa Philipo Sanga alipozungumza kwenye warsha ya watendaji wa…

Read More

JKU yabeba ubingwa Ligi Kuu ya Zanzibar

MAAFANDE wa JKU imemaliza ubishi kwa kutwaa taji la Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), jana Ijumaa baada ya kutoka sare ya 1-1 na Kipanga, huku Zimamoto ikicharazwa mabao 2-0 na New City wakati ligi hiyo msimu wa 2023-2024 ikifikia tamati. JKU na Zimamoto ndizo zilizokuwa zikichuana kuwania ubingwa huo uliokuwa wazi baada ya waliokuwa wakishikilia taji…

Read More

Changamoto, sababu uchache wahandisi wanawake zatajwa

Dar es Salaam. Wazazi, dhana ya ugumu masomo ya sayansi, vimetajwa kusababisha idadi ya wahandisi wanawake kuwa ndogo nchini. Ambapo idadi ya wahandisi wanawake Tanzania Bara  hadi mwaka 2024 wanafikia 5,006 kati ya zaidi ya 38,000 wa kada zote. Mbali na hizo  uwajibikaji, ajira, kutoaminiwa na waajiri, waajiri kuwa na imani haba kwa wahandisi wanawake,…

Read More

Sababu ongezeko wagonjwa wa vifua, mafua

Dar es Salaam. Wizara ya Afya imesema kuna ongezeko la virusi wanaosababisha homa kali ya mafua inayoambukiza maarufu influenza, waliyotaja kusababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa. Homa hiyo ambayo husababisha ugonjwa wa vifua inaongezeka katika baadhi ya maeneo nchini, huku wataalamu wa afya wakitoa angalizo kuacha kutumia kiholela antibaotiki na badala yake wakiwashauri wagonjwa…

Read More