
Tanga Uwasa yafungua njia matumizi ya hatifungani
Dodoma. Serikali imezitaka taasisi zake kutumia utaratibu wa hatifungani kugharimia miradi ya maendeleo badala ya kutegemea bajeti pekee. Agizo hilo limetolewa baada ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanga (Tanga Uwasa) kuorodhesha hatifungani ya miundombinu ya maji na utunzaji wa mazingira Mkoa wa Tanga katika Soko la Hisa la Dar es Salaam. Uorodheshwaji…