Tanga Uwasa yafungua njia matumizi ya hatifungani

Dodoma. Serikali imezitaka taasisi zake kutumia utaratibu wa hatifungani kugharimia miradi ya maendeleo badala ya kutegemea bajeti pekee. Agizo hilo limetolewa baada ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanga (Tanga Uwasa) kuorodhesha hatifungani ya miundombinu ya maji na utunzaji wa mazingira Mkoa wa Tanga katika Soko la Hisa la Dar es Salaam. Uorodheshwaji…

Read More

TBS, Unido kukarabati mfumo wa maabara

Morogoro. Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Viwanda (Unido), limeanzisha ukarabati wa mfumo wa uendeshaji maabara (LIMS) ili kuongeza ufanisi na kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia. Maboresho haya yanakuja baada ya kutambua umuhimu wa matumizi ya mifumo ya kielektroniki, ambayo inarahisisha utoaji wa huduma mbalimbali ndani ya…

Read More

Wafanyabiashara Simu200 wamfukuza DC Ubungo

Dar es Salaam. Katika mgomo wa wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga eneo la Soko la Simu2000, Ubungo jijini Dar es Salaam, wamedai wamekosa imani na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko katika kushughulikia changamoto zao. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kile walichoeleza kuwa licha ya kumlalamikia mara kadhaa kuhusu changamoto zao, ameishia kuwaahidi kwenda…

Read More

DKT. YONAZI ATEMBELEA UWAKILISHI WA KUDUMU WA TANZANIA KATIKA OFISI ZA UMOJA WA MATAIFA GENEVA, AAZIMIA KUIMARISHA USHIRIKIANO

NA. MWANDISHI WETU – GENEVA USWISI Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi ametembelea Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Uswisi, ikiwa ni ziara yake ya kikazi nchini humo, lengo ni kushiriki Jukwaa la Nane la Dunia la Kupunguza Madhara ya Maafa linalofanyika kuanzia tarehe 2…

Read More

Mwakyusa aliamsha Prisons | Mwanaspoti

BAADA ya kurejeshwa kikosini na kuisaidia Tanzania Prisons kushinda dhidi ya KenGold, kipa wa timu hiyo, Edward Mwakyusa amesema anataka kujihakikishia namba na kuisaidia timu kuendelea kufanya vizuri. Mwakyusa aliyepandishwa kikosini 2022/23, anakumbukwa kuiokoa timu hiyo msimu huo kukwepa kushuka daraja alipoizuia JKT Tanzania kwenye mechi ya mchujo (play off). Katika mchezo huo wa marudiano…

Read More

Dube aikosha Yanga, atabiriwa makubwa

MSHAMBULIAJI Prince Dube ameshaliamsha balaa baada ya kutupia kwa kasi tena akianza na hat trick kwenye ligi, hatua ambayo imekuwa faraja pia kwa mastaa wenzake ndani ya kikosi hicho wakisema jamaa atafunga sana. Wakizungumza kwa nyakati tofauti, nahodha msaidizi wa Yanga beki Dickson Job ameliambia Mwanaspoti kwamba kila mmoja ndani ya kikosi hicho alikuwa anasubiria…

Read More

ACT-Wazalendo yazindua timu ya ushindi 2025

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Othman Masoud amezindua timu ya ushindi ya chama hicho kwa upande wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Timu hiyo yenye wajumbe 15, inaongozwa na mwenyekiti Ismail Jussa ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa chama hicho upande wa Zanzibar. Pamoja na mambo mengine, timu hiyo itaandaa…

Read More