
RAIS SAMIA – KIZIMKAZI SASA NI TAMASHA LA KITAIFA – MWANAHARAKATI MZALENDO
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tamasha la Kizimkazi limepandishwa hadhi kutoka tamasha la Kijji chaKizimkazi mpaka kuwa la kitaifa. Akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Utalii wa Kasa kwenye Pango la Kasa lililopo eneo la Kizimkazi, Rais Samia amesema, watu wa Unguja Kusini lazima wakubaliane na mabadiliko hayo na kwamba…