Wizara ya afya nchini itaendelea kuboresha huduma za afya kwa Watanzania ili kuifikia dhamira ya serikali -Mhagama

Waziri wa afya,Jenista Mhagama amesema Wizara ya afya nchini itaendelea kuboresha huduma za afya kwa Watanzania ili kuifikia dhamira ya serikali ya kuhakikisha kila mwananchi ananufaika na kupata huduma bora ikiwemo matumizi ya Bima ya afya kwa wote. Waziri Mhagama amesema hayo alipofanya ziara yake katika taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), jijini Dar…

Read More

SmartLab and EIT Climate-KIC Announce Partnership to Launch Adaptation and Resilience ClimAccelerator Program in Tanzania

Dar es Salaam, Tanzania— SmartLab and Climate-KIC, Europe’s leading innovation agency, have partnered to launch the second edition of the Adaptation and Resilience ClimAccelerator Program in Tanzania.  ClimAccelerator is a global program for start-ups to innovate, catalyze and scale the potential of their climate solutions. The Adaptation & Resilience ClimAccelerator in Tanzania aims to support…

Read More

Mbunge Juliana: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni muhimu kwa CCM

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa Vijana Taifa wa Chama cha Mapinduz(CCM),Juliana Didas Masaburi amesema katika kushika dola uchaguzi wa Serikali za Mitaa ndio uchagizi wa kuangalia kutokufanyia masihara. Hivyo ni wajibubwa wanachama wote wa CCM kuhakikisha mwaka huu wamejipanga kupiga kura kuhakikisha wanashinda kwa kishindo. Massaburi ameyasema hayo Novemba 23,2024 alipokuwa akizungumza na wananchi wa…

Read More

Ibenge aaga rasmi Al Hilal, njia nyeupe Azam FC

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Al Hilal Omdurman ya Sudan, Florent Ibenge amewashukuru wafanyakazi, wachezaji, watendaji, mashabiki na watu wote wa Sudan kwa kipindi cha miaka mitatu aliyofanya nao kazi, huku akiwaambia atabaki katika mioyo yao. Hatua ya kocha huyo kuaga inajiri baada ya jana Mtendaji Mkuu wa Al Hilal, Hassan Ali Issa kueleza  wamefikia uamuzi…

Read More