NLD YAHIMITISHA KAMPENI KWA KISHINDO HANDENI YAWAOMBA WANANCHI KUWAPA RIDHAA WAGOMBEA WAO ILI WAWAPE MAENDELEO

Na Oscar Assenga, HANDENI. CHAMA cha The National League For Democracy (NLD) kimehitimisha kampeni kwa wagombea ambao wanawania nafasi za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu huku wakiwawataka wananchi kuwapa ridhaa ili waweze kuwapa maendeleo. Akizungumza wakati wa mkutano wa kampeni wa kuhitimisha kampeni hizo katika viwanja vya soko…

Read More

PAPA LEO ALIFIKA TANZANIA 2004

…………. Mwaka 2004, Papa Leo XIV alifika nchini Tanzania na kufanya ziara kama Mkuu wa Shirika la Waagustiniani Ulimwenguni.  Katika.ziara hiyo Papa Leo anayetoka katika Shirika la Order of Saint Augustine (OSA), alifika jijini Dar es Salaam kisha akaenda mkoani Njombe. Ziara hiyo pia ilihusisha maeneo ya Mahanje hadi mkoani Songea.

Read More

BRELA YAWATAKA WAFANYABIASHARA KUJISAJILI ILI KUCHANGAMKIA FURSA KIBIASHARA

Afisa Sheria za Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni nchini (Brela) Lupakisyo Mwambiga wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonyesho ya 11 ya Biashara na Utalii yanayofanyika kwenye viwanja vya shule ya Sekondari Usagara Jijini Tanga. Na Oscar Assenga,TANGAWAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni nchini (BRELA) umewataka wafanyabiashara kuchangamkia fursa ya kujisajili…

Read More

Eto’o: Tanzania inastahili nne CAF

RAIS wa Shirikisho la Soka la Cameroon (Fecafoot), Samuel Eto’o ambaye pia  ni nyota wa zamani wa Barcelona, Chelsea na Inter Milan, ameeleza umuhimu wa kuboresha nafasi za timu za Afrika katika mashindano ya kimataifa, huku akisema Tanzania inastahili kuwakilishwa na klabu nne CAF. Eto’o anasisitiza Tanzania na mataifa mengine yenye ligi imara yanapaswa kuwa…

Read More

Rais wa Nigeria atoa wito wa kusitishwa kwa maandamano – DW – 05.08.2024

Katika hotuba iliyorushwa kupitia televisheni, Rais Tinubu aliwataka waandamanaji hao kusitisha maandamano yoyote zaidi na kutoa nafasi ya mazungumzo, haya yakiwa matamshi yake ya kwanza ya umma tangu kuanza kwa maandamano hayo. Rais Tinubu anasema anaelewa matatizo ya wananchi Rais huyo amesema amewasikia waandamanaji kwa sauti kubwa na wazi, na kuongeza kuwa anaelewa mafadhaiko yanayochochea…

Read More