RC Batilda aagiza Halmashauri Lushoto kulipa madeni

Lushoto. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Burian ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto kulipa deni la zaidi ya Sh700 milioni, linalodaiwa na wafanyakazi, makandarasi na watoa huduma wengine. Amesema deni hilo linaonyeshwa kwenye vitabu vya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Hayo amesema leo Jumanne Juni 25, 2024  wilayani Lushoto…

Read More

Huduma mkoba yatua Songwe | Mwananchi

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabiri Omari Makame amewapokea madaktari bingwa 30 wa Rais Samia watakaotoa huduma za matibabu kwenye hospitali tano za halmashauri za mkoa. Huduma zitakazotolewa ni pamoja na matibabu ya magonjwa njia ya uzazi na watoto, huduma za upasuaji wa kibobezi, utoaji wa dawa za usingizi, tiba ya magonjwa ya kawaida,…

Read More

Kaya 62 zakosa makazi, 300 zazingirwa na maji Moshi

Moshi. Kaya zaidi ya 300 katika Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, zimezingirwa na maji, huku 62 zikiachwa bila makazi  kutokana na mafuriko yaliyotokana na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani humo. Mbali na makazi hayo kuharibiwa, mafuriko hayo pia yameathiri ekari zaidi ya 2,000 za mashamba ya mazao mbalimbali, miundombinu ya barabara pamoja na shule kadhaa kuharibiwa…

Read More

Mawasiliano ya simu yazimwa Vatican uchaguzi wa Papa mpya

Vatican. Mchakato wa kumpata Papa mpya ukianza leo Jumatano Mei 7, 2025 kwa misa, mawasiliano yote kwa njia ya simu na mitandao ya kijamii yatazimwa mjini Vatican. Uchaguzi unafanyika kufuatia kifo cha Papa Francis kilichotokea Aprili 21 akiwa katika makazi yake kwenye nyumba ya Mtakatifu Marta, Vatican. Kwa mujibu wa andiko la Padri Richard Mjigwa…

Read More

Samia alivyotikisa kila wizara kwa miaka mitatu

Dar es Salaam. Siku 1,220 za Rais Samia Suluhu Hassan madarakani zimekuwa za panga, pangua kwenye baraza lake la mawaziri kutafuta ufanisi huku mabadiliko hayo yakidaiwa kuwanyima wateule hao nafasi ya kutosha kuonyesha ubunifu na kuacha sifa katika taasisi wanazoziongoza. Samia aliingia madarakani Machi 19, 2021 baada ya Rais John Magufuli aliyefariki dunia Machi 17,…

Read More

Lissu alalama wageni wake kuondolewa nchini

Dar es Salaam. Tundu Lissu, amewasilisha malalamiko mahakamani kuhusu wageni wake kuondolewa nchini. Malalamiko hayo ameyawasilisha leo Oktoba 15, 2025 Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, wakati kesi ya uhaini dhidi yake ilipoitwa kwa ajili ya kuendelea na usikilizwaji. Wageni hao ni Dk Brinkel Stefanie, raia wa Ujerumani na Catherine Janel Almquist Kinokfu, raia…

Read More

Fadlu aandaa Sapraizi Simba | Mwanaspoti

WAKATI joto la dabi ya Kariakoo likiendelea kupanda, kocha mkuu wa Simba, Fadlu Davies ameandaa sapraizi katika kikosi chake kabla ya kuivaa Yanga Alhamisi, Agosti 8, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mwanaspoti linajua baada ya Simba kumaliza tamasha la Simba Day lililofanyika Jumamosi iliyopita kocha huyo alitoa mapumziko kwa kikosi hicho huku akiwasihi wachezaji kuangalia…

Read More