Mgambo waiangukia Serikali ajira za kudumu

Morogoro. Wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Akiba (mgambo) katika Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro wameiomba Serikali kuwaangalia kwa jicho la huruma kwa kuwapatia ajira ndani na nje ya wilaya hiyo ili kujikimu kimaisha na kusaidia kuimarisha ulinzi na usalama. Wahitimu hao wametoa ombi hilo leo kwenye hafla ya kufunga mafunzo hayo ya…

Read More

KONA YA MSTAAFU: Wastaafu tujihadhari na mikopo ya kununua madeni yetu

Wiki za karibuni mstaafu wetu amekuwa akishangazwa na mfululizo wa matangazo kutoka hizi benki kadhaa za dotcom zikijinasibu kwamba zitakuwa zinawasaidia wastaafu ‘kwa kununua madeni ya mikopo yote tuliyojiingiza kwa shida zetu zisizoisha, halafu benki hizo zitatusaidia kwa kutukopesha mikopo mingine juu ya ile iliyo nunuliwa. Pole yetu. Iko hivi. benki zinazodai kuwa ziko karibu na…

Read More

MAELFU WAJITOKEZA UZINDUZI KAMPENI JIMBO LA ITWANGI

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Itwangi CCM Azza Hillal Hamad akinadi sera kwa wananchi.Wananchi wakiwa kwenye uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu Jimbo la Itwangi mkoani Shinyanga Mgombea Ubunge wa Jimbo la Itwangi CCM Azza Hillal Hamad akinadi sera kwa wananchi, kulia ni Mgeni rasmi Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (MNEC) Munde Tambwe Na…

Read More

Malindi kurejea Unguja na pointi tatu za Chipukizi

TIMU ya Malindi kutoka Unguja, imefanikiwa kuvuna alama tatu kwa kuifunga Chipukizi bao 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu Zanzibar iliyochezwa Septemba 27, 2025 kwenye Uwanja Gombani uliopo kisiwani Pemba. Bao hilo lilifungwa na Tchakei Moucheri dakika 15 akimalizia pasi ya Ramadhan Mponda ambapo lilidumu hadi timu hizo zinakwenda mapumziko. Kipindi cha pili kilianza kwa…

Read More

Serikali yamaliza mgogoro wa ardhi Shinyanga

Shinyanga. Serikali imesema itatuma timu ya kamishna wa ardhi kwenda wilayani Kahama mkoani Shinyanga ili kuzitambua baadhi ya kaya zilizosahaulika wakati wa tathmini ya umilikishwaji wa ardhi katika eneo la zaidi ya ekari 300 za Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (Mwanva) FDC. Wananchi hao ni wale waliosahaulika kwenye Takwimu zilizotolewa kwa Rais wa awamu ya…

Read More

Walinzi wanahitajika haraka kwa AI kwenye uwanja wa vita, anaonya Guterres – maswala ya ulimwengu

© Unsplash/Igor Omilaev Baraza la Usalama la UN linakutana kujadili athari za akili bandia juu ya amani na usalama wa kimataifa. Jumatano, Septemba 24, 2025 Habari za UN Wanadamu hawawezi kuruhusu roboti za muuaji na silaha zingine zinazoendeshwa na AI kuchukua udhibiti wa vita, Katibu Mkuu wa UN aliwaambia mabalozi katika Baraza la Usalama. “Ubunifu…

Read More

Kisa Simba, Yanga, TFF yatoa siku 60

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetoa notisi ya kisheria ya siku 60 kwa kampuni kadhaa za ubashiri, ikizitaka zitoe maelezo kwa nini zisichukuliwe hatua za kisheria kwa kuorodhesha mechi ya Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Simba kwenye majukwaa yao bila idhini. Mechi hiyo iliyochezwa Machi 1, 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan…

Read More