CCM Mbeya yaonya wagombea kutumia lugha za heshima kampeni
Mbeya. Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimeonya wagombea wake kuacha kutumia lugha za kejeli na dharau kwenye mikutano ya kampeni, kikisisitiza umuhimu wa kufanya siasa za kistaarabu ili kutekeleza dhana ya 4R ya Rais Samia Suluhu Hassan. Onyo hilo limetolewa leo Jumatatu Septemba 8, 2025 na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC)…