
LIVERPOOL YAJIONDOA KUMUWANIA LENY YORO
Liverpool wamejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha kumnunua mlinzi wa Manchester United Leny Yoro, 18, kutoka Lille kwa sababu walihisi anavutiwa zaidi na klabu ya Real Madrid. (Mirror) Powered by; @acbtanzania_ @kobemotor @betpawatanzania @wearekerry #TetesizaSokaUlaya #KonceptTvUpdates