MABASI YAKAGULIWA, WAMILIKI WAONYWA – MICHUZI BLOG

NA BALTAZAR MASHAKA, MISUNGWI JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza limeendesha ukaguzi wa magari ya abiria mkakati wa kudhibiti ajali na uvunjaji wa sheria za barabarani zinazofanywa na madereva. Ukaguzi huo ulifanyika 27 Disemba 2024 ,katika eneo la Usagara, Wilaya ya Misungwi, umelenga magari yanayosafiri mikoani ili kuzuia ajali zinazotokana na uzembe wa madereva na…

Read More

WADAU WA UNUNUZI WAASWA KUZINGATIA MAADILI KAZINI

Katibu Mtendaji wa PPAA, Bw. James Sando akiongea na wazabuni na wadau wa ununuzi wa Umma kutoka taasisi za Serikali (hawapo pichani) kwa Kanda ya Kaskazini mwishoni mwa wiki jijini Arusha ***** Na Mwandishi Wetu, Arusha. Wadau wa Ununuzi waaswa kuzingatia maadili na elimu katika Ununuzi wa Umma ili kuiwezesha Serikali kupata thamani halisi ya…

Read More

Viongozi watatu Chaumma wajiuzulu nafasi zao

Dar es Salaam. Mambo yameanza kuchangamka ndani ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), baada ya viongozi watatu wa kitaifa kujiuzulu nafasi zao, wakitaja sababu ni kukipa chama hicho fursa ya kuwapata viongozi wengine watakaoendeleza gurudumu mbele. Waliotangaza kujiuzulu ni Katibu Mkuu wa chama hicho Mohammed Masoud Rashid, Naibu Katibu Mkuu Bara, Rahman Rungwe na…

Read More

Guterres juu ya Mvutano wa India-Pakistan, Sasisho la Kongo Mashariki, hali ya hewa huongeza kwa nzige barani Afrika-Maswala ya Ulimwenguni

“Asubuhi hii, alizungumza kando kwa simu na Muhammad Shebaz Sharif, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Pakistan, na pia alizungumza mapema siku hiyo na Subrahmanyam Jaishankar, Waziri wa Mambo ya nje ya Jamhuri ya India,” alisema waandishi wa habari wa UN. Wakati wa wito mkuu wa UN alisisitiza hukumu yake kali ya shambulio la…

Read More

BENKI YA STANBIC TANZANIA YATOA TZS MILIONI 80 KUSAIDIA MATIBABU YA KUOKOA MAISHA YA WATOTO WENYE MATATIZO YA MOYO NA MISHIPA YA DAMU

· Stanbic Bank yatoa TZS milioni 80 kwa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) na Heart Team Africa Foundation kusaidia kugharamia matibabu muhimu kwa watoto. · Hafla ya kuchangisha fedha, iliyoongozwa na Rais Mstaafu Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, imewaleta pamoja wadau kutoka sekta za umma na binafsi kwa lengo la kusaidia watoto wenye…

Read More

Ayoub Lakred avunja ukimya | Mwanaspoti

SIKU chache tangu amalizane na Simba, kipa Ayoub Lakred aliyetua FUS Rabat ya Morocco, amevunja ukimya kwa kufichua kuwa, licha ya kuondoka Msimbazi, lakini klabu hiyo itaendelea kuwa moyoni mwake kwa namna alivyoishi nayo, huku akiitaja Yanga. Lakred aliyeitumikia timu hiyo kwa msimu mmoja ya kupata majeraha yaliyomweka nje kwa muda mrefu, licha ya kuendelea…

Read More