CCM yalaani kiongozi wake kuuawa Iringa

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimelaani tukio la Katibu wake, Wilaya ya Kilolo Mkoa wa Iringa, Christina Kibiki kuuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana. Christina ameuawa usiku wa kuamkia leo Jumatano Novemba 13, 2024, Kijiji cha Njiapanda ya Tosa, wilayani Iringa alipokuwa akiishi. Baada ya kushambuliwa, alipelekwa Hospitali ya Rufaa ya Tosamaganga…

Read More

Dk Mpango: Mapambano mabadiliko ya tabia nchi yawe jumuishi

Arusha. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema ni muhimu kuwa na usawa katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, huku akieleza Tanzania imeendelea kusisitiza ujumuishaji wa masuala ya jinsia na mabadiliko kupitia sera, programu na mikakati kwenye ngazi zote. Dk Mpango amesema hayo leo Jumatatu, Septemba 2, 2024 jijini Arusha, alipofungua Jukwaa la…

Read More

Nyumba 76 za watumishi wa afya, zitakavyoboresha utoaji huduma

Unguja. Familia 76 zimepata makazi karibu na Hospitali ya Rufaa ya Abdalla Mzee, Kusini Pemba hatua inayotajwa kuongeza ufanisi wa kutoa huduma katika hospitali hiyo baada ya kuwaepusha wataalamu kutembea masafa marefu kwenda kutoa huduma. Nyumba hizo 76 zenye gharama ya Sh16.481 bilioni zimejengwa na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China na kuikabidhi Serikali…

Read More

Mashindano ya Gofu ya ‘NBC Waitara Trophy 2025’ Yazinduliwa Rasmi, Benki ya NBC Yaridhishwa Kasi ya Uibuaji Vipaji Mchezo wa Gofu

Mashindano ya Gofu ya ‘NBC Waitara Trophy’ msimu wa mwaka 2025 yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaam huku mdhamini Mkuu wa mashindano hayo Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ikisisitiza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na wadau wa mchezo huo hususani katika kuibua vipaji vipya vya mchezo huo. Hafla ya uzinduzi wa mashindani hayo…

Read More

MAANA YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUIFUNGUA NCHI.

  Tangu aingie madarakani Machi 2021 hadi Agosti 2024, Rais Samia Suluhu Hassan ameufungua  uchumi wa Tanzania kwa dunia na kujenga mazingira bora ya biashara za kimataifa.  Matokeo ya juhudi hizi yanaonekana wazi katika ukuaji wa biashara yetu kimataifa, kutoka USD 17.4 bilioni (Mauzo nje – $8.4bn, Uingizaji bidhaa – $9bn) hadi kufikia USD 31.4…

Read More

Mwakilishi ahoji kusuasua bandari za Pemba

Unguja. Mwakilishi wa Pandani, Profesa Omar Fakih Hamad amesema licha ya kauli za Serikali za kukusudia kukifungua kisiwa cha Pemba kupitia bandari inayoweza kutoa huduma za kimataifa, uhalisia wa jambo hilo bado haujaonekana. Profesa Hamad amesema hayo wakati akiuliza swali leo Alhamisi Februari 27, 2025 katika mkutano wa 18 wa Baraza la Wawakiliahi. “Ni kwa…

Read More