Mganga wa kienyeji jela miaka 30 kwa kubaka mgonjwa wake

Morogoro. Mganga wa kienyeji, Selemani Hamza (39), mkazi wa Kijiji cha Katindiuka wilayani Kilombero Mkoa wa Morogoro amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumbaka binti wa miaka 16 aliyepelekewa ili amtibie. Hukumu hiyo imetolewa leo  Jumatatu Julai 15, 2024 na Hakimu Samwel Obasi wa Mahakama ya Wilaya ya…

Read More

NEEC YAFUNDA MAKUNDI YA AKINAMAMA, VIJANA NA MAKUNDI MAALUM KUWA WABUNIFU KATIKA BIASHARA

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi {NEEC} kupitia programa ya Imarisha Uchumi na Mama {SAMIA)imeyataka makundia ya kinamama, vijana na makundi maalum Mkoani Kilimanjaro kuongeza ubunifu katika shughuli za biashara na ujasirimali ili kuweza biashara kubwa na kuwa maisha mazuri katika familia zao. Hayo yalisemwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji…

Read More

MAJALIWA ATETA NA WAZIRI MKUU WA CÔTE D’IVOIRE

****** WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire, Robert Beugre Mambe na kujadiliana naye masuala ya kidiplomasia, kiuchumi, teknolojia, kilimo na michezo kwenye kikao kilichofanyika ofisini kwa mwenyeji wake, Boulevard Angoulvant Plateau, jijini Abidjan. Akitoa ufafanuzi mara baada ya kikao hicho jana jioni (Jumanne, Mei 13, 2025), Waziri Mkuu Majaliwa alisema…

Read More

Mzee wa Upako: Unakujaje kanisani bila sadaka?

Dar es Salaam. Mchungaji wa Kanisa la Gospel Revival Center, Anthony Lusekelo, maarufu kwa jina la Mzee wa Upako, amesema suala la waumini kutozwa fedha kwa ajili ya kufanyiwa maombi na viongozi wa makanisa ni makubaliano kwa sababu ni mambo ya imani. Amesema maandiko ya Biblia yameelekeza waumini kwenda kanisani na sadaka, hivyo haipaswi kwenda…

Read More

Miradi ya maendeleo yaahirisha Tamasha la Kizimkazi

Unguja. Tamasha la Kizimkazi limeahirishwa sababu kubwa ikitajwa ni kukosekana kwa miradi ambayo itafunguliwa wakati wa tamasha hilo. Kwa mujibu wa taarifa iliyokuwa imetolewa awali Juni 15 mwaka huu,  tamasha hilo la 10 lilitarajiwa kuanza Julai 19 hadi 26 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 3, 2025 Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja,…

Read More