RAIS RUTO AAGIZA UCHUNGUZI WA KINA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Kenya, William Ruto, ameonyesha masikitiko yake makubwa kutokana na moto uliotokea katika Shule ya Msingi ya Hillside Endarasha, ambapo wanafunzi 17 wamepoteza maisha. Akizungumza kupitia mitandao ya kijamii, Rais Ruto ameeleza kuwa habari za tukio hilo ni “mbaya sana” na ameagiza mamlaka kufanya uchunguzi wa kina kubaini chanzo cha moto huo. “Tunawaombea manusura…

Read More

NAIBU WAZIRI PINDA AKABIDHI GARI LA WAGONJWA MPIMBWE

  Na Munir Shemweta, MLELE Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi Mhe, Geophrey Pinda amekabidhi gari la wagonjwa kwa ajili ya Kituo cha Afya Kibaoni. Mhe, Pinda amekabidhi gari hiyo tarehe 4 Mei 2024 katika hafla maalum…

Read More

Fedha ujenzi SGR Uvinza- Musongati zapatikana

Dar es Salaam. Shirika la Reli Tanzania (TRC), limesema limepata fedha kwa ajili ya ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kutoka kipande cha Uvinza mkoani Kigoma hadi Musongati nchini Burundi. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Novemba 14, 2024 na Kaimu Mkurugenzi wa TRC, Mateshi Tito wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji…

Read More

TBS YATOA ELIMU KWA WAJASIRIMALI KWENYE MAONESHO YA MUUNGANO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetoa elimu ya viwango vya ubora kwa Wajasiriamali wadogo waliojitikeza katika Maonesho ya Kibiashara ya Miaka 60 ya Muungano katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam. Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo leo Aprili 25,2024, Afisa Masoko (TBS), Bw. Mussa Luhombero amesema wametoa elimu…

Read More

Putin asema vita vya Ukraine vinachukua mkondo wa kidunia – DW – 22.11.2024

Akilihutubia taifa lake kwa njia ya televisheni jioni ya jana, Rais Vladimir Putin wa Urusi ametangaza kuwa Urusi imetumia aina mpya ya kombora la masafa ya kati, kushambulia kituo cha kijeshi cha Ukraine. “Wataalamu wetu wa makombora waliliita Oreshnik. Majaribio yalifanikiwa. Lengo la uzinduzi lilifikiwa. Moja ya majengo makubwa na maarufu zaidi ya kiviwanda tangu enzi…

Read More

Hamadi: Kuna cha kujifunza kwa Bocco, Nyoni

KOCHA wa JKT Tanzania, Hamad Ally amesema kuna kitu cha kujifunza kwa wachezaji chipukizi kupitia wakongwe John Bocco anayekipiga JKT, Erasto Nyoni (Namungo) na Kelvin Yondani (KenGold) namna ya kulinda vipaji kwa kucheza muda mrefu. Wakongwe hao wana zaidi ya miaka 15 wakikiwasha Ligi Kuu Bara  wakibebwa na namba wakiwaacha mbali wachezaji vijana wanaoibuka na…

Read More