Gharama kikwazo matibabu kwa wenye tatizo la afya ya akili

Dar es Salaam. Gharama za matibabu na unyanyapaa ni baadhi ya vikwazo vinavyotajwa kutatiza watu wenye changamoto ya afya ya akili kupata huduma za afya. Imeelezwa kuwa  wagonjwa hushindwa kugharimia huduma kutokana na ugumu wa maisha jambo linalochangia ndugu kuwatekeleza wodini kwa muda mrefu. Changamoto hizo zimeelezwa na Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Akili…

Read More

Watanzania waaswa matumizi bora ya umeme

Dar es Salaam. Watanzania wametakiwa kuzingatia matumizi bora ya umeme kwa kuacha kutumia vifaa vingi kwa wakati mmoja kama havina ulazima ikiwamo pasi, redio na jiko ili kuepuka upotevu wa nishati hiyo. Rai hiyo inakuja wakati kiango cha upotevu wa umeme kwa sasa nchini ni asilimia 14, kutoka 21 mwaka 2018 huku lengo ikiwa ni…

Read More

Pacha wa miezi mitano wafariki kwa kuungua moto Morogoro

Morogoro. Watoto wawili pacha wa miezi mitano, wamefariki dunia kwa kuungua moto wakiwa ndani ya nyumba. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto ya Uokoaji mkoani  Morogoro Shaban Marugujo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Marugujo amesema tukio hilo lilitokea Mei 4, 2024 saa 3 usiku ambapo watoto wawili pacha waliokuwa na umri wa miezi mitano walifariki kwa…

Read More

Takriban Wapalestina 90 wameripotiwa kuuawa katika shambulizi la Israel lililomlenga mkuu wa jeshi la Hamas

Takriban Wapalestina 90 wameripotiwa kuuawa katika shambulizi la Israel dhidi ya kambi ya watu waliokimbia makazi yao kusini mwa Gaza ambayo Israel ilisema ilimlenga mkuu wa kijeshi wa Hamas, ambaye anadaiwa kuwa mpangaji mkuu wa mashambulizi ya Oktoba 7. Kanda za Al-Mawasi, ambalo limeteuliwa kuwa eneo salama kwa Wapalestina wanaokimbia mapigano mahali pengine, zinaonyesha miili…

Read More

Kero ya wavuta skanka, bangi kwa wanafunzi shule za Geita

Geita. Baraza la Madiwani Manispaa ya Geita limekerwa na vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na vikundi vya vijana wahalifu kujificha eneo lililotengwa kwa ajili ya uwekezaji Kata ya Bombambili kuvuta bangi na skanka na kuhatarisha usalama wa wanafunzi wa shule zilizopo kwenye maeneo hayo. Kutokana na hali hiyo, baraza hilo limeiomba kamati ya ulinzi na usalama Wilaya…

Read More

Bodi ya FCC yafanya ziara katika Kituo cha Siari Ziara yaibua umuhimu wa kuwepo maafisa ukaguzi katika vituo vya mipakani

    Na Mwandishi Wetu,Mara   Bodi na Menejimenti ya Tume ya Ushindani (FCC) imetembelea Kituo cha ukaguzi wa pamoja (OSBP) kilichopo Sirari Wilayani Tarime Mkoani Mara. Kutembelea kituo hicho ni kupata uelewa wa pamoja kuhusu shughuli za ukaguzi mipakani. Akizungumza katika ziara hiyo ya kutembelea hivi karibuni ,Mkurugenzi Mkuu wa FCC William Erio ambaye…

Read More

Bucha zafungwa kwa uchafu, kukosa usajili

Unguja. Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) umefunga bucha nne majini hapa kwa kukiuka taratibu za biashara. Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Bidhaa za Mifugo, Dk Thamra Khamis Talib, amesema leo, Agosti 17, 2024, kuwa bucha hizo zimefungwa baada ya ukaguzi katika Mkoa wa Mjini Magharibi kubaini baadhi zinafanya biashara bila kusajiliwa. Amesema…

Read More