Ilani mpya CCM kuzalisha ajira milioni nane kwa vijana

Dar es Salaam. Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya 2025/30 imeanisha hatua 11 za kuzalishaji ajira zenye tija zisizopungua milioni nane katika kipindi cha miaka mitano kupitia Serikali watakayoiunda endapo kitashinda kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba. Katika ilani ya uchaguzi ya chama hicho tawala ya mwaka 2020/25 waliahidi kutengeneza ajira zisizopungua milioni saba za sekta…

Read More

USCAF YAINUA ELIMU YA TEHAMA KWA SHULE NA WALIMU NCHINI

 MFUKO wa Mawasiliano kwa WOte (USCAF) umesema katika kipindi cha miaka minne  ya Serikali ya  Awamu ya sita shule za umma 469 zimepelekewa vifaa vya TEHAMA lengo likiwa ni kukuza ujuzi wa TEHAMA kwa Wanafunzi na Walimu nchini. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa USCAF Mhandisi Peter Mwasalyanda katika kikao kazi cha wahariri na waandishi…

Read More

Ukata bado kikwazo utekelezaji bajeti ya EAC

Dar es Salaam. Wakati mjadala wa bajeti ya mwaka 2025/2026 ukiendelea, Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imebainika kukabiliwa na ukata wa kifedha, gazeti dada la The Citizen limeeleza. Hali hiyo inatokana na baadhi ya nchi wanachama kuchelewesha au kutotekeleza kabisa wajibu wao wa kuchangia bajeti ya kila mwaka, kwa mujibu wa nyaraka zilizoonwa na The…

Read More

Heche: Watanzania tusipuuze siasa, azitaja Simba na Yanga

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, John Heche amewataka Watanzania kutopuuza siasa, akisema ndio msingi utakaoboresha maisha yao. Msingi wa kueleza hayo, umetokana na kile alichodai baadhi ya Watanzania wamekuwa mstari wa mbele kujadili na kufuatilia masuala ya mipira hasa klabu za Simba na Yanga badala ya siasa….

Read More

Magori ametoa kauli ya kiuongozi Simba

CRESCENTIUS Magori juzi alitoa kauli ambayo hapa kijiweni tunaamini ndiyo inapaswa kutolewa na kiongozi pindi timu inapopoteza mechi kama ya Jumanne wiki hii dhidi ya Yanga. Amewataka Wanasimba kuwa na utulivu wa hali ya juu katika kipindi hiki ambacho imetoka kupoteza mechi ya sita mfululizo dhidi ya Yanga na katika mechi hiyo ilifungwa bao 1-0….

Read More

Championship mwisho wa ubishi ni kesho

Pazia la Ligi ya Championship msimu huu linafungwa kesho Jumapili huku utamu utakuwa jijini Arusha wakati Pamba itakaposaka nafasi ya kuzika mzimu ulioitesa kwa zaidi ya miaka 20 kutopanda Ligi Kuu. Ligi hiyo iliyoanza Septemba 9 ikishirikisha timu 16 inafika tamati huku Ken Gold ikiwa imepanda Ligi Kuu na pointi 67 ikiwa na mechi moja,…

Read More