Ndejembi: Serikali inapambana kuondoa vikwazo matumizi ya nishati safi ya kupikia

Morogoro. Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema Serikali inaendelea kushughulikia changamoto za miundombinu zinazokwamisha usambazaji na matumizi ya nishati safi ya kupikia, hasa vijijini na pembezoni mwa miji. Akizungumza leo Machi 17, 2026 mkoani Morogoro wakati wa kufungua kongamano la wadau wa nishati safi ya kupikia lililoandaliwa na Taasisi ya Uongozi kwa kushirikiana na Wizara…

Read More

Sudan, Algeria vita nzito, Uganda kuikabili Senegal

UHONDO wa michuano ya CHAN 2024 unaendelea leo kwa mechi mbili, moja ikipigwa visiwani Zanzibar wakati Sudan itakuwa mawindoni dhidi ya Algeria, huku jijini Kampala wenyeji Uganda watakuwa na kibarua kizito mbele ya watetezi, Senegal. Sudan iliyomaliza kama kinara wa Kundi D imesalia Zanzibar na kuanzia saa 2:00 usiku itakuwa na kazi ya kukabiliana na…

Read More

MAAFISA MIPANGOMIJI WAFUNDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU KWA WELEDI

Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipangomiji nchini Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia idara ya Maendeleo ya Makazi inaendesha kikao kazi kwa Maafisa Mipangomiji wa mikoa ili kujipanga kutekeleza majukumu yao kwa weledi. Kikao hicho cha siku tatu kinachofanyika mkoani Arusha kuanzia Sept…

Read More

Gumzo ahadi za wagombea urais, wadau watahadharisha

Dar es Salaam. Wakati kampeni za wagombea nafasi za urais, ubunge na madiwani, zikipamba moto tangu kuanza kwake Oktoba 28, 2025, sera na ahadi mbalimbali zimeendelea kunadiwa majukwaani licha baadhi ya wagombea kuja na ahadi zinazogonga vichwa vya habari hasa ikiangaliwa utekelezaji wake. Vyama 17 kati ya 18 vilivyosaini kanuni za maadili ya Uchaguzi Mkuu…

Read More