Ligi Bara yambeba kipa Mkongomani

ALIYEKUWA kipa wa Dodoma Jiji, Mkongomani Alain Ngeleka, amesema Ligi Kuu Bara imempa fursa ya kuonekana zaidi baada ya nyota huyo kukamilisha uhamisho wa kujiunga na kikosi cha Bandari ya Kenya kwa ajili ya kukitumikia msimu wa 2025-2026. Akizungumza na Mwanaspoti, Ngeleka alisema kucheza kwa muda mrefu katika Ligi Kuu Bara kumechangia kupata nafasi hiyo…

Read More

Mpina akatwa tena kinyang’anyiro cha urais Tanzania

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeengua rasmi jina la mgombea wa urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina katika orodha ya wagombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu. Hatua hiyo imekuja baada ya INEC kukubali pingamizi lililowasilishwa na Mwanasheria…

Read More

Vyombo vya ukandamizaji vya Jimbo la Venezuela ‘zisizobadilika’ licha ya mabadiliko ya uongozi – Masuala ya Ulimwenguni

“The miundo ambayo imeendeleza mateso kwa miaka mingi haijavunjwa, wala sera za Serikali hazijatangazwa kuanza mchakato huo.”, Ujumbe wa Kimataifa wa Kutafuta Ukweli kwa Venezuela ulisema katika a taarifa iliyotolewa Jumatano. Ujumbe huo ulianzishwa ili kutathmini madai ya ukiukaji wa haki za binadamu nchini Venezuela uliofanywa tangu 2014. Tangu kukamatwa kwa Maduro mnamo Januari 3,…

Read More

MAELEKEZO YA MRAJIS KWA VYAMA VYA USHIRIKA KUTUMIA MIZANI ZA KIDIGITALI KATIKA UPIMAJI WA MAZAO

Mrajis wa Vyama vya Ushirika, Dkt. Benson Ndiege amevitaka Vyama vya Ushirika vya Mazao nchini kutumia mizani za kidigitali katika kupima mazao ya wakulima ili kuondoa udanganyifu na kumlinda mkulima.  Mrajis ametoa maelekezo hayo kupitia barua ya tarehe 13 Machi, 2026 aliyowaandikia Wenyeviti na Wajumbe wa Bodi wa Vyama vya Ushirika vya mazao Tanzania Bara…

Read More

Mfugaji wa Kuku Ajishindia Pikipiki Kupitia Bahati Nasibu ya PigaBet

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. Mjasiriamali na mfugaji wa kuku kutoka Mapinga, Bagamoyo, Raphael Emmanuel, amejishindia pikipiki kupitia promosheni ya “Shinda Boda” inayoendeshwa na kampuni ya michezo ya kubashiri ya PigaBet. Akizungumza wakati wa makabidhiano ya zawadi hiyo yaliyofanyika katika ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam, Raphael alimshukuru Mungu pamoja na PigaBet…

Read More

DKT. KIMAMBO AWAHIMIZA WATUMISHI WANAWAKE MUHIMBILI KUJITOA KWA DHATI KUBORESHA HUDUMA KWA WANANCHI

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Delilah Kimambo****** Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Delilah Kimambo, amewataka watumishi wanawake wa hospitali hiyo kujitoa kwa hali na mali katika utoaji wa huduma kwa wananchi wanaofika kupiga matibabu. Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika leo Machi 18,…

Read More

Nyota Azam awekwa chini ya uangalizi

KIUNGO mshambuliaji wa Azam, Nassor Saadun amewekwa chini ya uangalizi wa madaktari wa kikosi hicho baada ya kutoonekana uwanjani kutokana na majeraha ya nyama za paja. Akizungumza na Mwanaspoti, Daktari wa Azam, Mbaruku Mlinga, alisema mchezaji huyo amepata majeraha hayo ya kusumbuliwa na nyama za paja ndio maana hajaonekana uwanjani kwa muda sasa, ingawa maendeleo…

Read More

TSL yazindua mifuko miwili kupanua fursa za uwekezaji

Dar es Salaam. Kampuni ya Tanzania Securities Limited (TSL) imezindua mipango miwili mipya ya uwekezaji wa pamoja yenye ubunifu, ikilenga kuimarisha ushirikishwaji wa wananchi katika sekta ya kifedha na kupanua wigo wa fursa za uwekezaji nchini. Akizungumza Machi 3, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa bidhaa hizo, Gavana wa Benki Kuu ya…

Read More

Vijana 6,000 kufanya kazi nje, Serikali kuwachongea njia

Dodoma. Serikali imesema licha ya kutoa fursa kwa vijana kupata mafunzo ya uanagenzi bila gharama, mwitikio bado ni hafifu. Hata hivyo, imetangaza mkakati wa kuwaunganisha zaidi ya vijana 6,000 katika fursa za kimataifa, ambapo awamu ya kwanza vijana 1,000 watakwenda kufanya kazi nchini Qatar. Kauli hiyo imetolewa Jumanne Machi 3, 2026 na Waziri wa Nchi,…

Read More