SERIKALI KUHAKIKISHA BARABARA ZOTE ZA HALMASHAURI ZINAFUNGULIWA

Serikali inaendelea kuhakikisha kwamba barabara ambazo zipo katika kila halmashauri ya wilaya zinafunguliwa ili kurahisisha usafiri na usafirishaji katika maeneo ya wananchi. Hayo yamesemwa na Meneja wa TARURA Mkoa wa Singida Mhandisi Ibrahimu Kibassa kwenye Maonesho ya Usalama na Afya Mahali Pa Kazi katika viwanja vya Mandewa Mkoani Singida. Mhandisi Kibassa alisema katika mwaka wa…

Read More

Mashujaa yaiota nne Bora mapemaa!

WAKATI kikosi cha Mashujaa Kigoma kikiendelea kujifua kwa kupiga tizi la nguvu katika fukwe za bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam, uongozi wa timu hiyo umesema malengo ya msimu huu ni kumaliza katika nafasi nne za juu katika Ligi Kuu Bara ili ikate tiketi ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani. Timu hiyo itakayoshiriki Ligi…

Read More

Wataka wajumbe kuondolewa uchaguzi wa madiwani, wabunge CCM

Babati. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kimechukua na kinakwenda kufanyia kazi mapendekezo ya wanachama wake mkoani Manyara wanaotaka wagombea udiwani na ubunge kuchaguliwa na wanachama na si wajumbe. Ushauri huo wameutoa leo Jumamosi, Juni 1, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika stendi ya zamani ya Babati Mjini, uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk…

Read More

Nafasi za Mnguto, Kasongo zajazwa kwa muda TPLB

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepata viongozi wawili wa kukaimu nafasi za Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu ambao Juni 13, 2025 waliondoka katika nafasi hizo kwa sababu tofauti. Mwenyekiti wa Azam FC, Nassor Idrissa ‘Father’ anakaimu nafasi ya Mwenyekiti wa TPLB ambayo imekuwa wazi kufuatia kujiuzulu kwa Steven Mnguto. Kwa upande wa Mtendaji Mkuu, anayekaimu…

Read More

Dereva basi lililoua abiria saba, asomewa mashitaka 29

Moshi. Dereva wa basi la Kampuni ya Mvungi Al-Adani Mruma, aliyesababisha ajali iliyoua watu saba na kusababisha majeruhi zaidi ya 42 amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Moshi mkoani Kilimanjaro na kusomewa mashitaka 29. Ajali hiyo ilitokea Aprili 3, 2025 eneo la Kikweni, Kijiji cha Mamba, kata ya Msangeni, Wilaya ya Mwanga, mkoani humo baada…

Read More

10 wasakwa na polisi tuhuma za kufanyiwa mitihani chuo kikuu

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam. limesema bado halijafanikiwa kuwatia mbaroni wanafunzi 10 wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) wanaokabiliwa na tuhuma za kufanyiwa mitihani. Katika sakata hilo, wanaotakiwa kukamatwa ni wanafunzi 17 na hadi juzi Jumamosi, Juni 29, 2024 ni wanafunzi saba pekee walithibitishwa kutiwa nguvuni kwa…

Read More