Kipigo cha Simba chaiamsha Kagera

KOCHA wa Kagera Sugar, Melis Medo, amesema kipigo cha mabao 5-2 walichokipata kutoka kwa Simba, wikiendi iliyopita, ni funzo kubwa kwa timu yake. Katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Kaitaba, mjini Bukoba timu hiyo ya Kagera ilikubali kichapo hicho cha aibu kilichowafanya waonekane dhaifu mbele ya mabingwa hao wa zamani. Medo,…

Read More

HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM YAKIMBIZA WAHUNI WOTE KWENYE MIRADI YA SERIKALI

Halmashauri ya jiji la Dar es salaam imefuta mikataba yote ya ujenzi ambayo imekuwa ikisuasua katika utekelezaji na kuisababishia halmashauri hasara kubwa  akizungumza wakati wa kusaini mkataba mpya na mkandarasi anayejenga shule ya sekindari kipunguni mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la Dar es Salaam Elihuruma Mabelya ametaja kuwa wameamua kufanya uamuzi huo kufuata maelekezo yaliyotolewa…

Read More

UCHUMI WA BULUU UNA FAIDA KUBWA

Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Mohamed Sheikh akifunga kikao kazi cha kuandaa mpango kazi wa utekelezaji wa Uchumi wa Buluu kwa mwaka wa fedha 2024/25 na 2025/26 kilichofanyika Arusha kwa siku mbili. Sehemu ya washiriki wakifuatilia kikao kazi cha kuandaa mpango kazi wa utekelezaji wa Uchumi wa Buluu…

Read More

Devotha Minja atangaza kujiondoa Chadema akisema, ‘hakuna kushusha silaha chini’

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kati, Devotha Minja ametangaza kujiondoa ndani ya chama hicho akisema: “Aluta kontinua, hakuna kushusha silaha chini, mapambano yaendelee.” Minja ambaye amewahi kuwa mbunge wa viti maalumu kupitia chama hicho  (2015-2020) ametangaza uamuzi huo leo Alhamisi, Mei 15, 2025 katika mkutano wake na waandishi wa habari…

Read More