WAZIRI SILAA AIELEKEZA TCRA KUPIGA KAMBI RADDY ELECTRONICS

Mkuranga, Juni 18, 2025 – Mwamvua Mwinyi Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia na Habari, Mhe. Jerry Silaa (Mb), ameielekeza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kupiga kambi katika kiwanda cha kutengeneza simu janja cha Raddy Electronics kilichopo Mkuranga, mkoani Pwani, kwa lengo la kufuatilia kwa ukaribu ubora na viwango vya uzalishaji kulingana na ushindani wa soko, ili…

Read More

Walalamika kuchunguliwa wakati wa kujifungua Tabora

Tabora. Baadhi ya wanawake waliopata huduma ya kujifungua kwenye Zahanati ya Isevya iliyopo Manispaa ya Tabora wameiomba Serikali kujenga uzio mrefu kuzunguka zahanati hiyo ili kukomesha watu wasio na maadili wanaowachungulia. Wanawake hao wanasema wakati wa wakijifungua kuna baadhi ya watu wenye rika la vijana huwachungulia kupitia mwanya uliopo kutokana na eneo la hospitali kutokuwa…

Read More

Huu hapa msimamo wa CCM kuhusu ‘No reform, No election’

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa msimamo wake kuhusu kampeni ya No Reform, No Election (bila mabadiliko hakutakuwa na uchaguzi) ya Chadema kikisema, chama kimoja hakitaweza kuzuia uchaguzi kufanyika. Katika msisitizo wake kuhusu hilo, CCM kupitia kwa Katibu wake wa Halmashauri Kuu, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla kimesema kwa kuwa uchaguzi ni…

Read More

DIVISHENI YA MIPANGO OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAENDESHA MAFUNZO MAALUMU YA UAANDAJI WA MPANGO NA BAJETI.

Na Mwandishi wetu Divisheni ya Mipango Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali inaendesha mafunzo ya uandaaji mpango na bajeti na utekelezaji wake kwa maafisa bajeti kutoka Divisheni, Vitengo na Ofisi za Mikoa za Mwanasheria Mkuu wa Serikali, mafunzo hayo ya siku 3 yanafanyika Jijini Arusha kuanzia tarehe 25 hadi 27 Septemba, 2024. Mafunzo hayo yameandaliwa…

Read More

Rais Samia: Nimemrudisha Makamba kwa mama

Lushoto. Rais Samia Suluhu Hassan amesema ameamua kumrudisha kwake Mbunge wa Mumbuli, Januari Makamba baada ya kile alichodai alimpiga kikofi. Kauli ya Rais Samia inakuja miezi saba, tangu alipotengua uteuzi wa Makamba katika nafasi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Ingawa taarifa ya utenguzi wa Makamba ya Julai mwaka jana…

Read More

Nini UNRWA ilijenga – Masuala ya Ulimwenguni

UNRWA ilianzishwa na Nchi Wanachama wa Umoja wa Mataifa mwaka 1949 ili kutekeleza mipango ya moja kwa moja ya misaada na maendeleo kwa Wapalestina waliopoteza makaazi yao kufuatia vita vya Waarabu na Israeli vya 1948. Picha ya Umoja wa Mataifa imeratibu mkusanyo kutoka kwenye kumbukumbu yake ambayo inafuatia kazi muhimu ya shirika hilo tangu ilipoanza…

Read More

Jeshi la Polisi lakanusha taarifa ya Polisi

Dar es Salaam. Sakata la kuzuiwa mikutano ya hadhara na ile ya ndani ya vyama vya siasa limechukua sura mpya, baada ya Jeshi la Polisi Tanzania kukanusha zuio la Polisi Wilaya ya Mbagala, Mkoa wa Dar es Salaam. Kanusho hilo la Polisi Makao Makuu linatokana na taarifa ya Polisi Mbagala kwenda kwa chama cha ACT-Wazalendo…

Read More