Fahamu mazoezi yanayoboresha tendo la ndoa

Dk Anold Kegel ni mwanasayansi wa tiba bingwa wa magonjwa ya wanawake wa Marekani na mgunduzi wa mazoezi yajulikanayo Kegel, yenye kuboresha tendo la ndoa kwa wanawake. Uzoefu mkubwa wa kukabiliana na changamoto mbalimbali za kiafya kwa wanawake kulimwezesha kubaini udhaifu wa misuli ya kitako cha kiuno, kwa wanawake waliotoka kujifungua. Wazo lake hilo ndilo…

Read More

Fountain Gate: Tupo njia sahihi

RAIS wa Fountain Gate Academy, Japhet Makau, amesema uongozi unaridhishwa na mwenendo wa timu yao ya Fountain Gate FC inayoshiriki Ligi Kuu Bara huku akisisitiza kwamba ipo katika njia sahihi. Timu hiyo ambayo inashika nafasi ya tano katika msimamo wa ligi hiyo, baada ya kucheza mechi 11 imekusanya pointi 17, sambamba na kufunga mabao 20…

Read More

NCAA YAJINOA KUSHIRIKI MICHUANO YA SHIMMUTA 2024 JIJINI TANGA

Na Mwandishi wa NCAA, Tanga. Timu ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imewasili mkoani Tanga kushiriki kikamilifu katika Mashindano ya Mashirika ya Umma, Makampuni na Taasisi Binafsi (SHIMMUTA) yanayoanza leo tarehe 10 hadi 24 Novemba 2024, jijini Tanga. Mashindano haya yanajumuisha mashirika mbalimbali nchini yakiwa na lengo la kukuza mshikamano, afya, na ari ya…

Read More

Mashujaa ni mapigo na mwendo tu Ligi Kuu Bara

MASHUJAA wana kauli mbiu yao ya ‘Mapigo na Mwendo’ na hadi sasa Ligi Kuu Bara ikiwa raundi ya nne kikosi hicho kipo nafasi ya pili katika msimamo na mmoja wa makipa wa timu hiyo, Erick Johora amefichua kuwa presha waliyoanza nayo imeondoka baada ya kugawa dozi zilizowaongezea mzuka. Mashujaa imevuna pointi saba katika mechi tatu,…

Read More

TUJIKINGE NA UGONJWA WA KICHAA CHA MBWA KWANI ZAIDI YA WATU 60,000 HUFARIKI KILA MWAKA

  Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Abdul Mhinte katikati akiwa katika picha ya pamoja katika Maadhimisho ya Kichaa cha Mbwa Duniani Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza Septemba 28, 2024.(Picha na Faustine Gimu) Ugonjwa wa Kichaa cha mbwa ( Rabies) ni ugonjwa hatari unaoathiri ubongo na kwa kawaida unamwuua aliyeambukizwa nao. Jina na njia za kuambukizwa Jina la…

Read More

Wananchi wahamasika kujiandikisha, wataja mfumo ‘kusahau’ vidole vyao

Pemba. Wakati uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura likiendelea, wananchi katika Wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, wamesema wameridhishwa na uandikishaji licha ya kujitokeza kwa changamoto ya baadhi vidole vyao kushindwa kutambulika kwa mfumo. Hata hivyo, hakuna anayeshindwa kuandikishwa kwani changamoto hiyo inatatuliwa kwa wakati. Awamu ya pili ya uandikishaji imeanza tangu…

Read More

Chan 24 kupigwa Tanzania Februari mwakani

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) jana limezihakikishia Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa fainali za Chan 2024 huku likitaja tarehe ambayo mashindano hayo yataanza. Akizungumza muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati ya utendaji cha Caf jijini Nairobi, Kenya, Rais wa shirikisho hilo, Patrice Motsepe alisema Chan itafanyika Februari Mosi hadi 28…

Read More

Bilion 2 kuimarisha ulinzi bwawa la Mindu Morogoro.

Bwana la Mindu lililopo Manispaa ya Morogoro linategemewa kwa zaidi ya asilimia 70 ya wakazi wa Morogoro katika upatikanaji wa huduma ya maji safi kwa wakazi wa Manispaa hiyo ambapo wadau na Serikali wamekua wakisisitiza utunzwaji wake Ili wananchi kuwa na uhakika wa huduma ya maji. Katika kuendelea na mikakati hiyo hapa unafanyika uzindua rasmi…

Read More