Wamarekani hawajawa tayari kuongozwa na Rais mwanamke

Wapenzi wa safu hii, niko jijini Washington D.C, mji mkuu wa Marekani, pamoja na mambo mengine nimepata fursa ya kuushuhudia uchaguzi wa Marekani, nchi inayoitwa “The Biggest Democracy” kumaanisha kuwa ni demokrasia kubwa kwa sababu ilipata uhuru wake Julai 4, 1776. Wagombea wakuu ni Kamala Harris anayewakilisha chama cha Democrats ambaye pia ni Makamu wa…

Read More

Hersi, Arafat, Ibwe wajitosa CCM kuwania ubunge

RAIS wa Yanga, Hersi Said, Makamu wake Arafat Haji na Ofisa Habari na Mawasiliano msaidizi wa Azam FC, Hasheem Ibwe, leo Juni 28, wamejitosa  kuchukua fomu za kuwania kuteuliwa kugombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyia Oktoba, mwaka huu. Hersi amechukua fomu za kuwania ubunge katika Jimbo la Kigamboni jijini…

Read More

Kwanini mikataba ya uwekezaji ipitiwe upya Tanzania?

Katika miaka kadhaa iliyopita Tanzania iliingia hasara ya mabilioni ya shilingi iliyolipa kama fidia kwa kampuni mbalimbali kutokana na kushitakiwa kwenye mahakama za usuluhisi za kimataifa kuhusu mikataba ya uwekezaji. Mfano, Oktoba 2023, mgogoro kati ya kampuni ya Winshear Gold Corp ya nchini Canada ulitamatika kwa suluhu nje ya mahakama, baada ya Tanzania kukubali kulipa…

Read More

Camara aungana na kina Kyombo

MSHAMBULIAJI Abdoulaye Yonta Camara ameungana na nyota wengine kutoka Singida Black Stars kuitumikia Pamba Jiji kwa mkopo wa miezi sita. Nyota waliotua Pamba Jiji katika dirisha dogo la usajili ambalo lilifungwa jana usiku kutoka Singida Black Stars ni pamoja na Habib Kyombo, Hamad Majimengi na Mohamed Kamara. Taarifa kutoka Singida BS zimethibitisha kumuondoa mchezaji huyo…

Read More

Ecua atikisa dili la Sowah Yanga

SIKU moja baada ya Mwanaspoti kuripoti kuwa huenda straika Celestin Ecua akatua na kocha mpya wa timu hiyo anayekuja kuchukua mikoba ya Miloud Hamdi, mambo yanadaiwa kuonekana kwenda vizuri huku ikidaiwa amepindua dili la Jonathan Sowah, raia wa Ghana. Straika huyo ambaye ndiye MVP wa Ligi Kuu Ivory Coast, amemaliza msimu wa 2024-2025 akitupia mabao…

Read More

Haji Mnoga akipiga dakika 58 dhidi ya Man City

LICHA ya chama la beki Mtanzania, Haji Mnoga wa Salford City ya Uingereza kupokea kichapo cha mabao 8-0 dhidi ya Manchester City, nyota huyo alianza na kukipiga kwa dakika 58. Salford juzi ilikuwa kwenye Uwanja wa Etihad jijini Manchester kuvaana na Man City katika mchezo wa raundi ya tatu ya Kombe la FA. Beki huyo…

Read More

Kamati ya maadili ya uchaguzi yazinduliwa

Unguja. Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji Aziza Suwedi, amezindua rasmi kamati ya maadili ya uchaguzi ya kitaifa ikiwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha uchaguzi wa baadaye mwaka huu unakuwa huru, haki na wa amani. Uzinduzi wa kamati hiyo ni sehemu ya mchakato wa kushirikisha wadau wa uchaguzi hususan vyama vya…

Read More

Mcolombia Azam amvulia kofia Bacca

BEKI kisiki wa Azam FC, Fuentes Mendosa ameshindwa kujizuia na kukiri kuwa Ibrahim Hamad ‘Bacca’ anayekipiga Yanga alistahili kuwa beki bora wa msimu uliopita kutokana na aina ya uchezaji wake ambao umekuwa ukimvutia. Bacca anashikilia tuzo ya Mchezaji Bora wa Zanzibar na Beki Bora wa Ligi Kuu Bara msimu ulioisha, ametajwa na Mendosa kuwa anavutiwa…

Read More