Pamba Jiji yaenda chimbo la wiki tatu

KIKOSI cha Pamba Jiji kitaondoka keshokutwa (Jumapili) jijini hapa kwenda mjini Morogoro kuweka kambi ya takribani wiki tatu kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu Bara chini ya Kocha Mkuu, Goran Kopunovic na msaidizi wake, Salvatory Edward. Wachezaji wa timu hiyo wapya na wale wa zamani wameshaingia kambini tangu Jumatatu kwenye maskani yao eneo la…

Read More

Mji mkuu wa Haiti ‘umepooza na kutengwa’ na vurugu za genge, Baraza la Usalama linasikia – maswala ya ulimwengu

Tangu Januari, Ofisi ya Jumuishi ya UN huko Haiti (Binuh), iliyorekodiwa zaidi ya watu 4,000 waliuawa kwa makusudi – ongezeko la asilimia 24 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mnamo 2024. “Mji mkuu ulikuwa kwa nia na madhumuni yote yaliyopooza na genge na kutengwa Kwa sababu ya kusimamishwa kwa ndege za kimataifa za kibiashara kuingia kwenye…

Read More

Benki ya NBC, Mbogo Ranches Zasaini Makubaliano ya Utoaji Mikopo ya Mbegu Bora ya Mifugo kwa Wafugaji.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesaini makubaliano ya ushirikiano na Kampuni ya Mbogo Ranches yanayotoa fursa kwa wafugaji nchini kuweza kunufaika kupitia upatikanaji wa mikopo rafiki kutoka benki hiyo kwa ajili ya ununuzi wa mbegu bora za kisasa za mifugo ikiwemo ng’ombe, mbuzi na kondoo inayozalishwa na kampuni hiyo. Hatua hiyo inalenga kuwasaidia kwa…

Read More

Geita bado haiamini, waitana fastaa

BAADA ya kushuka daraja kutoka Ligi Kuu msimu huu na kuwa na ukimya kwa takribani wiki moja, uongozi wa Geita Gold umesema umeamua kutulia kwa sasa na kujikita kufanya vikao vya ndani ili kuja na maamuzi sahihi na mipango ya kinachofuata. Timu hiyo ambayo ilidumu Ligi Kuu Bara kwa misimu mitatu tangu 2021/2022 hadi 2023/2024,…

Read More

MaguRi, Makapu kuliamsha upya Biashara United

NYOTA wa zamani wa Simba na Yanga, Elias Maguri na Said Juma ‘Makapu’ ni miongoni mwa wachezaji wapya walioongeza mzuka ndani ya kikosi cha Biashara United kilichopo Ligi ya Championship inayoanza mwishoni mwa mwezi huu. Nyota hao msimu uliopita walicheza katika timu za Ligi Kuu, Maguri akiwa Geita Gold iliyoshuka daraja, wakati Makapu alikuwa Mashujaa…

Read More

WATUMISHI ZINGATIENI MAADILI, SERIKALI INAWAAMINI : ROMBO

Katibu Tawala wa Wilaya ya Arusha, Jacob Rombo amewasihi watumishi wa Wizara ya Ujenzi kuzingatia maadili ya kutunza siri za Utumishi wa Umma kwa kuzingatia kanuni, taratibu na Miongozo iliyowekwa na Serikali ili kufanikisha huduma bora za ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja kwa jamii. Rombo ameeleza hayo leo Julai 01, 2025 Mkoani Arusha…

Read More