Mwanamume wa Uingereza aliyetuhumiwa kuipeleleza China akutwa amefariki katika bustani

Mwanamume anayeshutumiwa kusaidia mamlaka ya Hong Kong kukusanya taarifa za kijasusi nchini Uingereza amefariki katika hali isiyoeleweka, polisi wa Uingereza waliripoti Jumanne (Mei 21.) Matthew Trickett mwenye umri wa miaka 37 alikuwa miongoni mwa wanaume watatu walioshtakiwa mapema mwezi huu kwa kukubali kushiriki katika kukusanya taarifa, ufuatiliaji na vitendo vya udanganyifu ambavyo vina uwezekano wa…

Read More

Gachagua kunyoa au kusuka Bunge la Seneti wiki ijayo

  BUNGE la Seneti nchini Kenya, litaanza kujadili hoja ya kumuondoa ofisini, Naibu wa Rais, Rigathi Gachagua, Jumatano na Alhamisi, wiki ijayo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Seneti limepokea hoja kutoka kwa kiongozi wa walio wengi Aaron Cheruyot, baada ya bunge la kitaifa, kupiga kura ya kumtimua Gachagua jana Jumanne. Bunge zima la Seneti…

Read More

Vodacom Tanzania Yazindua Kampeni ya Kuadhimisha Miaka 25, Yabeba Ujumbe “Tupo Nawe, Tena na Tena”

Katika kuadhimisha miaka 25 ya kuwaunganisha Watanzania, Vodacom Tanzania PLC imezindua kampeni kubwa ya kitaifa inayobeba ujumbe wa “Tupo Nawe, Tena na Tena.” Kampeni hii itakayodumu kwa miezi minne, kuanzia Juni hadi Oktoba 2025, inalenga kusherehekea safari ya mafanikio tangu walipoanza kutoa huduma nchini mnamo mwaka 2000 hadi leo. Vodacom inawakumbusha Watanzania kuwa ipo nao…

Read More

Aliyehukumiwa kifungo miaka 30 jela kwa unyang’anyi aachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani Tanzania  imemwachia huru, Grace Omary aliyekuwa akitumikia kifungo cha miaka 30 jela alichohukumiwa kwa kosa la kumpora mwanamke mwenzake fedha taslimu Sh300,000 kwa kutumia silaha baada ya kushinda rufaa yake. Grace ambaye alijiwakilisha mwenyewe kortini, alihukumiwa kifungo hicho na Mahakama ya Wilaya ya Tarime, akakata rufaa Mahakama Kuu lakini akakwaa kisiki…

Read More

KenGold yaanza upya, Fountain Gate kazi ipo

WAKATI Ken Gold ikitarajia kushuka uwanjani Jumatano uwanjani kuwakabili Fountain Gate, benchi la ufundi limesema halitarajii kuruhusu tena bao badala yake ni kutembeza vipigo baada ya kukisuka upya kikosi. Ken Gold inayoshiriki Ligi Kuu kwa mara ya kwanza haikuwa na mwanzo mzuri baada ya kukandwa kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya Singida Black Stars na…

Read More