
Rekodi tatu mwamuzi Dabi ya Kariakoo
MCHEZO wa Dabi ya Kariakoo umeingia kwenye historia mpya baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuwashusha waamuzi kutoka Misri na Somalia, huku rekodi za mwamuzi wa kati zikiwa tishio. Taarifa iliyotolewa na TPLB jana ni, mchezo huo utaamuliwa na Amin Omar atakayekuwa mwamuzi wa kati, akisaidiwa na Mahmoud El Regal, Samir Mohamed, huku…