Wakulima wa parachichi Njombe sasa kucheka

Njombe. Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka amesema ujenzi wa kiwanda cha kuchakata parachichi mkoani mwake,  ni mkombozi mkubwa kwa wakulima kwani tofauti na ilivyokuwa awali mkulima alikuwa anauza kwa bei ndogo kutokana na hofu ya tunda kuharibika lakini sasa atakuwa na maamuzi ya bei. Akizungumza katika ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa kiwanda…

Read More

Furahia Michezo Kila Sekunde na Meridianbet Virtuals

HIVI umewahi kujikuta unatamani kuweka jamvi lakini ratiba ya michezo haipo upande wako? Mechi kubwa zimekwisha, au weekend bado haijafika? Sasa huna haja ya kusubiri tena kwa sababu Meridianbet Virtuals imekuja kukupa burudani ya papo kwa papo na ushindi wa haraka kila dakika, kila sekunde. Kwenye ulimwengu huu mpya, kila kitu kinatokea haraka. Hakuna foleni,…

Read More

Phiri aipeleka Simba nusu fainali

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba anayekipiha kwa sasa Power Dynamos ya Zambia amekiangalia kikosi cha sasa wa Wekundu hao chini ya kocha Fadlu Davids na kusema anaiona kabisa ikifika mbali katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, iwapo itaamua kukaza buti. Raia huyo wa Zambia aliyeichezea Simba kwa misimu miwili kabla ya kuondoka dirisha dogo…

Read More

Sh1.4 bilioni kukuza wajasiriamali wabunifu Tanzania

Dar es Salaam. Vijana na wanawake wabunifu wanatarajiwa kunufaika na Mradi wa Ubunifu wa Funguo, unaotekelezwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) ambao umepanga kutoa Sh1.4 bilioni kwa lengo la kuliinua kundi hilo. Msimamizi wa mradi huo, Joseph Manirakiza amesema hayo leo Jumanne, Septemba 10, 2024 jijini Dar es Salaam mbele ya…

Read More

DK.SAMIA AANIKA MAENDELEO RUKWA,AAHIDI MAKUBWA MIAKA MITANO IJAYO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Rukwa MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema Mkoa wa Rukwa umepiga hatua kubwa za kimaendeleo kutokana na mipango ambayo Serikali imeiweka katika kuboresha maisha ya wananchi wa Mkoa huo. Akizungumza leo Oktoba 19,2025 katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Kizwite uliopo Sumbawanga Mjini mkoani Rukwa alipokuwa…

Read More