MAJALIWA: SERIKALI ITAENDELEA KUIPA KIPAUMBELE SEKTA YA MICHEZO

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza kwenye Hafla ya Utoaji wa Tuzo za Pili (2) za Baraza la Michezo la Taifa kwa Wanamichezo Bora wa Mwaka 2024, katika ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam. …. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita imejipanga kikamilifu kuhakikisha kuwa sekta ya michezo inaendelea kuwezeshwa na kupewa…

Read More

Shule za Yerusalemu za Mashariki ziliambiwa karibu, Guterres alisikitishwa na Vifo vya Santo Domingo, Dk Kongo na Sasisho za Haiti – Maswala ya Ulimwenguni

Shule ziliambiwa lazima zifunge ndani ya siku 30. Bwana Lazzarini alisema kuwa wavulana na wasichana 800 wanaathiriwa moja kwa moja na maagizo haya ya kufungwa na wanaweza kukosa kumaliza mwaka wao wa shule. Alibaini kuwa Unrwa Shule zinalindwa na “marupurupu na kinga” ya Umoja wa Mataifa. “Amri hizi za kufungwa haramu zinakuja kwa sheria ya…

Read More

RC KUNENGE -PWANI KUSIMAMIA MAONO YA RAIS DKT SAMIA KUVUTIA WAWEKEZAJI KWA WINGI

    Na Mwamvua Mwinyi,Pwani 2, Novemba,2024 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameeleza mkoa huo utaendelea kusimamia maono ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha unavutia wawekezaji kwa wingi. Akizungumza wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, alipotembelea kiwanda cha Goodwill kilichopo Mkuranga, Kunenge alisema, uwekezaji…

Read More

Wawili kizimbani wakidaiwa kukwepa kodi ya TRA

Dar es Salaam. Wakazi wawili jijini hapa wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakishtakiwa kwa makosa tisa yakiwamo ya kughushi nyaraka za kiwanja, kukwepa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kutakatisha Sh54 milioni. Washtakiwa hao ni Mohamed Awadhi (49) na Kassim Simba (56) wanaodaiwa kukwepa kodi ya TRA kwa kulipa Sh54 milioni…

Read More

Israel yaonya kuhusu mashambulizi dhidi ya shirika la fedha la Hezbollah.

Kuongezeka kwa ghasia za hivi majuzi kumesababisha idadi kubwa ya raia wa Lebanon kukimbia kutoka Beirut huku milipuko ikitikisa jiji hilo. Milipuko hiyo inaaminika kuhusishwa na mvutano unaoendelea unaohusisha kundi la wanamgambo wenye nguvu la Hezbollah lenye makazi yake nchini Lebanon. Hali hii imechochewa na maonyo ya Israel kuhusu uwezekano wa kushambulia shughuli za kifedha…

Read More

Mashabiki Simba waiganda ‘Thank you’ ya Jobe

Akufukuzae hakuambii toka. Ndiyo msemo unaoweza kuutumia kwa mshambuliaji wa Simba, Pa Omar Jobe, ambaye mashabiki wa klabu hiyo wameonyesha kiu kubwa ya kutamani kuona anaachwa. Simba wiki hii, imeanza kuwaaga wachezaji wake ambao hawatawahitaji msimu ujao, ikiwa tayari imeshawaaga wawili, aliyekuwa nahodha wake mshambuliaji John Bocco, Jumatatu Juni 17 na leo ikimuaga kiungo mshambuliaji…

Read More

Serengeti Girls kanyaga twende | Mwanaspoti

TIMU ya taifa ya wanawake chini ya miaka 17 ‘Serengeti Girls’ kesho itashuka Uwanja wa Levy Mwanawasa, Zambia kwenye mchezo wa marudiano kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Zambia. Ni mchezo wa kufa ama kupona kwa timu hiyo ambayo inatafuta tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia itakayofanyika mwaka huu Morocco huku Tanzania ikishiriki kwa msimu…

Read More