Petroli yaadimika Zanzibar, wananchi wapaza sauti

Unguja. Zanzibar inakabiliwa na ukosefu wa mafuta ya Petroli kwa siku mbili mfululizo na kusababisha adha kwa wananchi wanaohitaji nishati hiyo.  Tatizo hilo limeanza Aprili 14, 2024 hadi leo Aprili 16, 2024 vituo vingi vya kuuzia mafuta vimeshuhudiwa vikiwa na idadi ndogo ya wafanyakazi kinyume na ilivyozoeleka. Kutokana na kadhia hiyo, kumesababisha kupanga kwa gharama…

Read More

Azam FC ni kitu baada ya kitu

WAKATI vita kati ya Azam FC na Simba ikiendelea kusaka nafasi ya pili katika Ligi Kuu Bara, matajiri wa Dar es Salaam wanaendelea na kusuka kikosi chao baada ya kushusha beki na kiungo, huku nyota wawili wa kigeni Wasenegali Malickuo Ndoye na Cheikh Sidibe wakitajwa kupisha usajili mpya. Azam FC imesajili viungo wawili, Franck Tiesse…

Read More