Iran yanadi fursa za uwekezaji maonesho ya Sabasaba

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imewataka wafanyabiashara wa Tanzania kuchangamkia fursa za uwekezaji zilizoko nchini humo ili kukuza kiwango cha biashara baina ya nchi hizo. Akizungumza leo Julai 8,2024 wakati wa maadhimisho ya Siku ya Iran kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba), Balozi wa Iran nchini Tanzania,…

Read More

Mwinzani: Mtashangaa NCBA, Lugalo Open

CHIPUKIZI wa mchezo wa gofu, Julius Mwinzani wa klabu ya Dar es Salaam Gymkhana, anasema atakuja kuwashangaza wengi katika mashindano ya mchezo huo ya NCBA, Lugalo Open na Lina Tour kwa jinsi alivyopania kama alivyokuwa amejipanga kwa Morogoro. Mchezaji huyo anayechezea timu ya taifa ya vijana U18, alisema hayo baada ya kushika nafasi ya tatu…

Read More

Vijana 181 wenye ulemavu wa akili wanufaika ufundi stadi

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Vijana 181 wenye ulemavu wa akili kutoka Manispaa ya Morogoro na Halmashauri ya Mji Mdogo Ifakara wamepatiwa mafunzo ya ufundi stadi kuwawezesha kuondokana na utegemezi na kujikwamua kiuchumi. Mafunzo hayo yametolewa kwa ushirikiano wa Shirika lisilokuwa la kiserikali linaloshughulikia maendeleo ya wanawake na vijana (Mwayodeo) la mkoani Morogoro na Taasisi…

Read More

Wasio na makazi wanavyolala Dar

Dar es Salaam. “Sikuwahi kufikiria kukosa makazi na kulala nje, lakini imenibidi kutokana na hali iliyonikuta, hadi leo nawalaani mgambo, ndiyo chanzo cha kuharibika maisha yangu na kuanza kulala hapa nilipo.” Hiyo ni kauli ya Rashida Omari (45), mzaliwa wa Kigoma ambaye kwa sasa analala kibarazani, kwenye ghorofa lililopo kwenye makutano ya Barabara ya Bibi…

Read More

Kaya 902 zaachwa bila makazi Moshi

Moshi. Zaidi ya kaya 902 zimebainika kuathiriwa na mafuriko ya mvua wilayani Moshi, Mkoani Kilimanjaro baada ya kufanyika kwa tathmini ya awali. Mafuriko hayo yalitokea juzi Alhamisi Aprili 25, 2024 baada ya kunyesha kwa mvua kubwa na kusababisha vifo vya watu saba wakiwemo wanne wa familia moja. Hayo yamesemwa leo Jumamosi Aprili 27, 2024 na…

Read More