Harris amempongeza Trump kwa njia ya simu – DW – 06.11.2024

Msaidizi mwandamizi wa Harris ambae hakutajwa jina alisema mgombea wa Democratic “amejadili na Trump umuhimu wa kukabidhiana madaraka kwa amani na kuwa rais wa Wamarekani wote.” Donald J. Trump ndiye rais mpya wa Marekani, akishinda kura za kutosha za wajumbe maalum wa majimbo (270 zinahitajika ili kushinda) kujitangazia ushindi wa uchaguzi wa 2024. Alishinda majimbo muhimu kama…

Read More

MAOFISA USAFIRISHAJI(BODABODA )WAJISAJILI KWENYE KANZI DATA KWA USALAMA -RPC LUTUMO

Mwamvua Mwinyi, Pwani JESHI la Polisi Mkoani Pwani kwa kushirikiana na Maofisa usafirishaji Wilaya ya Kibaha (bodaboda), limezindua zoezi la uvaaji viakisi mwanga katika ili kuwa rasmi na kuepuka kukumbwa na majanga mbalimbali ikiwemo kuporwa vyombo vyao vya moto. Akizungumza katika uzinduzi huo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi ,Pius…

Read More

Charlie Chaplin: Anaendelea kuishi kwa uchale wake

MASHAMBULIZI ya Palestina yanayofanywa na Israel yaliyoua mamia ya watu, huku zaidi ya milioni 2, wakikosa makazibaada ya nyumba zao kuharibiwa, yamewakumbusha watu wa Ulaya na Marekani alichosema msanii wa karne ya 20, Charlie Chaplin. Mchekeshaji huyu wa Uingereza aliyependwa kila pembe ya dunia aliwahi kufukuzwa Marekani kwa kauli zake za kupinga kuundwa taifa la…

Read More

Ilani ya CCM 2025/30 kuwekwa hadharani kesho

Dodoma. Macho na masikio ya Watanzania kesho ni katika mkutano mkuu maalumu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), utakaoweka wazi Ilani yake ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, 2025. Mkutano huo umetanguliwa na vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho vilivyofanyika jijini Dodoma kuanzia Mei 26  mwaka huu na kuhitimishwa leo…

Read More

WORLD VISION TANZANIA YAGAWA MICHE YA MATUNDA NA MBEGU ZA MBOGAMBOGA KWA SHULE ZA MSINGI SHINYANGA

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro (mwenye tisheti nyekundu kushoto) , maafisa kutoka World Vision Tanzania, maafisa wa kilimo na elimu wa wilaya, pamoja na wataalamu wa kata za Pandagichiza, Iselamagazi na Itwangi wakiwa wameshikilia pakti za mbegu za mbogamboga Na Mwandishi Wetu – Shinyanga Shirika la World Vision Tanzania, kupitia mradi wake…

Read More

DC Msando atangaza msako wanafunzi 356 wasioripoti shuleni

Handeni. Mkuu wa Wilaya ya Handeni (DC) mkoani Tanga, Albert Msando ameliagiza Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na watendaji wa kata kuwatafuta wanafunzi 356 wa kidato cha kwanza wa shule za sekondari ambao hawakuripoti shule mpaka msasa. Msando amesema ameshamuagiza kamanda wa polisi Wilaya ya Handeni akiwa na polisi kata, kuwatafuta wanafunzi hao kwa kuwa,…

Read More

TBS YATOA ELIMU MAONESHO YA SABA YA MIFUKO NA PROGRAMU ZA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI SINGIDA

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendela kutoa elimu ya ubora wa bidhaa katika Maonesho ya saba ya Mifuko na Programu za uwezeshaji wananchi kiuchumi yaliyofanyika katika viwanja vya Bombadier mkoani Singida. Akizungumza katika Maonesho hayo ambayo yameanza Septemba 8,2024 na kumalizika Septemba 14, 2024, Afisa mtoa elimu, Sileja Lushibika amesema TBS imeshiriki na kutoa elimu…

Read More