Lema amtaka Mbowe kumwachia Lissu uenyekiti Chadema

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amemshauri mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Freeman Mbowe kusikiliza ushauri wa familia yake wa kumtaka kutogombea tena nafasi hiyo.Lema amesema Mbowe mara kadhaa amekuwa na nia ya kupumzika na kuwaachia nguvu mpya vijana kuendeleza mapambano, lakini watu wanaoitwa…

Read More

Benki ya NBC Yazindua Huduma Maalum Kuwashika mkono Wastaafu

Na Mwandishi Wetu Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa ajili ya wastaafu inayofahamika kama “Akaunti ya Wastaafu” ama “Pensioners account” ikilenga kutoa huduma za kibenki zenye kutoa vipaumbele kwa kundi hilo la kijamii. Kupitia huduma hiyo iliyozinduliwa mapema hii leo jijini Dar es Salaam,  pamoja na faida nyingine  inatoa fursa ya mikopo mikubwa hadi…

Read More

Challe atuliza presha KenGold | Mwanaspoti

HALI ni mbaya kwa kikosi cha KenGold ya jijini Mbeya baada ya juzi usiku kupoteza michezo wa nne mfululizo kwa kunyooshwa na Kagera Sugar mabao 2-0 ugenini, lakini kaimu kocha wa timu hiyo, Jumanne Challe ametuliza presha za mashabiki, ni upepo mbaya tu wanaowapitia, ila watakaa sawa. Kauli ya Challe imekuja baada ya kuiongoza timu…

Read More

Usihuzunike Kwa Kuachwa, Utampata Akupendae

MARA nyingi baadhi ya wapenzi wanaoachwa na wenza wao wamejikuta wakigeuka kuwa watu wa huzuni katika sehemu kubwa ya maisha yao baada ya kuachwa. Huzuni hiyo husababisha wengine kupunguza ufanisi wao wa kazi, wakati mwingine humfanya mtu kuwa dhaifu katika maamuzi na fikra zake, huku wengine wakijiona kana kwamba hawana thamani kabisa katika huu ulimwengu….

Read More

Shule ya Kibasila yaanza kupika kwa kutumia nishati ya umeme

Dar es Salaam. Wakati matumizi ya nishati safi ya kupikia yakiendelea kupigiwa chapuo katika taasisi zenye watu zaidi ya 100, Kibasila inakuwa shule ya kwanza ya msingi kuanza kutumia umeme kuandaa chakula cha wanafunzi. Shule hiyo yenye wanafunzi 640 sasa inaachana na kuni ilizokuwa ikitumia awali kuwaandalia wanafunzi chakula cha mchana baada ya kuzinduliwa kwa…

Read More

Mastaa Bara wafunika Afrika | Mwanaspoti

LIGI Kuu Bara imesimama kwa wiki mbili, lakini mastaa wa timu mbalimbali wa timu za ligi hiyo kwa sasa wapo katika majukumu la kimataifa na juzi usiku baadhi yao walikiwasha wakiwa na timu za mataifa yao katika mbio za kuwania tiketi ya fainali ya Kombe la Mataifa Afrika (Afcon) 2025 zitakazofanyika Morocco. Wachezaji wa Simba,…

Read More

UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM WAWAFURAHISHA WAKAZI WA MKONGOTEMA HALMASHAURI YA MADABA

 Wananchi wa Kata ya Mkongotema Halmashauri ya Madaba Mkoani Ruvuma, wameelezea furaha yao kuhusu utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM na mafanikio yaliyopatikana katika miaka minne ya utawala wa Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Kizito Muhagama, Wananchi hao wamekiri kuwa miradi ya maendeleo inayotekelezwa imemaliza changamoto kubwa zilizokuwa zikiwakabili na sasa wanapata…

Read More

Muhimu wenye kisukari kuzijua taasisi hizi

Kisukari aina ya kwanza ni changamoto kubwa kwa watoto na vijana wengi duniani.  Mara nyingi, wenye aina ya kwanza ya kisukari wanakabiliana na changamoto za gharama za matibabu, uhaba wa insulini, ukosefu wa elimu sahihi kuhusu ugonjwa huu, na unyanyapaa wa kijamii. Taasisi kama T1 International na Sonia Nabeta zimejitokeza kama msaada muhimu kwa watoto…

Read More

Je, upinzani una nafasi? – DW – 08.10.2024

Mji mkuu wa Msumbiji Maputo, umepambwa kwa rangi kali nyekundu kwa wiki kadhaa. Nyekundu ni rangi ya FRELIMO, chama ambacho kimeongoza nchi hiyo tangu uhuru wa nchi hiyo karibu miaka 50 iliyopita. Bendera za FRELIMO ziko kila mahali, hasa tangu tarehe 24 Agosti, siku ambayo kampeni za uchaguzi zilifunguliwa rasmi katika nchi hii ya kusini…

Read More