Uzinduzi kituo cha gesi UDSM wapigwa kalenda

Dar es Salaam. Uzinduzi wa kituo cha kujaza gesi kwenye vyombo vya moto eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kilichopangwa kuzinduliwa leo, Jumatatu, Februari 3, 2025 umeahirishwa kwa mara nyingine. Meneja Msimamizi wa mradi wa CNG Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Aristides Katto akizungumza na Mwananchi leo amesema kuahirishwa huko…

Read More

Wapinzani wa Simba Caf waanza kutimuana

UNAWEZA kusema kimeumana huko Tunisia kwa wapinzani wa Simba katika Kombe la Shirikisho Afrika, CS Sfaxien ambapo mashabiki wake waliendeleza fujo wikiendi iliyopita ambazo zimeshinikiza uongozi kupangua safu ya benchi la ufundi. Kwa mujibu wa taarifa za redio maarufu nchini humo iitwayo Mosaique FM, uongozi ulianza mazungumzo wahusika juzi ili kumalizana kwa makubaliano. Uamuzi huo…

Read More

Twiga Stars ni jasho dakika 90

TIMU ya Taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ kesho itashuka uwanjani ugenini dhidi ya Equatorial Guinea, katika mchezo wa kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 zitakazofanyika Morocco. Huu utakuwa mchezo wa pili baada ya ule wa kwanza Stars ikiwa nyumbani Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, chini ya Kocha Bakari Shime kushinda…

Read More

Kikwete ajenga ukumbi wa mikutano Bukombe

Geita. Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amejenga ukumbi wa mkutano wa kisasa katika Shule ya Sekondari Bulangwa, wilayani Bukombe Mkoa wa Geita, kwa ufadhili wa Kampuni ya MM Steel. Ukumbi huo una uwezo wa kubeba watu kati ya 3,500 na 4,000. Akiweka jiwe la msingi la ukumbi huo leo Februari 8, 2025, Kikwete amesema kujengwa kwa…

Read More

‘Moyo wa Manji ulikuwa Yanga’

Dar es Salaam. Baada ya mwenyekiti na mfadhili wa zamani wa Yanga Yusuf Manji kufariki Jumamosi iliyopita, aliyekuwa mwanasheria wa timu hiyo, Onesmo Mpinzile ameeleza mengi kumhusu mfanyabiashara huyo. Manji alifariki akiwa hospitalini Florida nchini Marekani ikiwa ni miezi miwili tangu alipofanya mahojiano marefu na Mwananchi Digital akiwa jijini Dar es Salaam ambapo alihudhuria mchezo…

Read More

Mmoja kati ya watatu ana shinikizo la juu la damu

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema theluthi moja ya watu wazima duniani wana shinikizo la juu la damu, sawa na mtu mmoja kati ya watatu. Takwimu hizo za WHO kwa mujibu wa wataalamu, zinawiana na hali ilivyo nchini Tanzania, hivyo wameshauri mambo saba ya kuzingatiwa kuepuka au kukabiliana na tatizo hilo. Miongoni…

Read More

Kinachoendelea mgomo wa wafanyabiashara Dar, mikoani

Mikoani. Ikiwa ni siku ya nne tangu kutangazwa kwa mgomo wa wafanyabiashara nchi nzima, baadhi yao wameamua kufungua maduka na kuendelea na biashara kama kawaida huku wengine wakiendelea kuyafunga. Wafanyabiashara hao wameamua kugoma kuishinikiza Serikali kufanyia kazi malalamiko yao ambayo ni pamoja na kupunguza utitiri wa kodi na ushuru wanazolipa, unyanyasaji unaofanywa na maofisa wa…

Read More