Msengi aibukia JKT Tanzania | Mwanaspoti

MAAFANDE wa JKT Tanzania wanaendelea kusajili kimyakimya baada ya kuelezwa tayari wamemalizana na kiungo Ally Msengi waliyempa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Tanzania Prisons. Taarifa za ndani kutoka JKT TZ, zinasema wamemalizana na kiungo huyo wanayeamini atakuwa msaada kutokana na uwezo alioonyesha akiwa na Prisons msimu uliopita ambako alikuwa tegemeo katika kikosi cha kwanza. “Msengi…

Read More

Hapa kuna ndoa au ananihadaa?

Nina uhusiano na mwanamke kwa miaka mitatu na tulipanga mwishoni mwa mwaka huu nikatoe barua kwao na taratibu nyingine ili mapema mwakani tufunge ndoa. Ila nimepata taarifa ana mume na hajawahi kuniambia, si taarifa tu bali hadi picha wakiwa wanafunga ndoa kanisani nimeonyeshwa, ninashindwa kumuuliza atasema ninasikiliza maneno ya watu na ninampenda nahofia kumkosa iwapo…

Read More

Azam Complex na nuksi ya kadi nyekundu Ligi Kuu

Dar es Salaam. Mzimu wa kadi nyekundu unaonekana kutawala katika Uwanja wa Azam Complex kulinganisha na viwanja vingine vinavyotumika kwa Ligi Kuu msimu huu. Idadi kubwa ya kadi nyekundu hadi sasa zimeonyeshwa katika Uwanja huo unaomilikiwa na Azam FC huku viwanja vingi vikiwa havijashuhudia kadi nyekundu hadi sasa. Katika raundi 11 za Ligi Kuu msimu…

Read More