Kamati za ukaguzi zafundwa kukabili upotevu fedha za umma

Mwanza. Zaidi ya washiriki 240 kutoka sekretarieti za mikoa na mamlaka za serikali za mitaa nchini wamepewa mbinu mpya za kukabiliana na changamoto katika usimamizi wa fedha za umma, udhibiti wa ndani na kupunguza hoja za ukaguzi zinazojirudia katika taasisi za umma. Akizungumza Oktoba 17, 2025 wakati wa kufunga mafunzo ya kamati za ukaguzi yaliyofanyika…

Read More

DKT. NCHEMBA ASISITIZA TAFITI KUIMARISHA UCHUMI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bw. Elijah Mwandumbya, akimtunuku mwanafunzi pekee aliyehitimu Shahada ya Uzamili ya Mipango Ufutiliaji na Tathmini Bw. Joseph Ochora, katika Mahafali ya 38 ya Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, duru ya pili Kituo cha Mafunzo cha Kanda ya Ziwa, Kisesa Mwanza, yaliyofanyika kwa mara ya 12 katika Kituo hicho. …

Read More

RC MANYARA AAGIZA SOKO JIPYA KATESH LIANZE KUTUMIKA.

Na John Walter -Hanang’ Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga ameiagiza Halmashauri ya wilaya ya Hanang’ kukamilisha haraka taratibu zote ili soko jipya lianze kutumiwa na wafanyabiashara. Aidha,ameagiza shughuli katika soko hilo kuanza mara moja kabla ya siku ya Ijumaa Mei 24, 2024 ili kutoa huduma kwa Wananchi na kuchochea uchumi wa wafanyabiashara, Halmashauri…

Read More

Huyu ndiye mkuu mpya wa NATO – DW – 01.10.2024

Julai 2023,  Rutte alitangaza kujiuzulu wadhifa wake wa waziri mkuu wa Uholanzi na miezi michache baadaye akaanza kudhihirisha nia yake ya kumrithi Katibu Mkuu wa NATO, Jens Stoltenberg, ambaye alitangaza kuachia wadhifa huo ifikapo Septemba 2024. Kwa miezi kadhaa, Rutte aliendesha kampeni yake ndani ya muungano wa NATO, huku viongozi wengi wakiwa tayari wanamfahamu alipokuwa waziri mkuu wa…

Read More

MUNA LOVE ATOA MANENO MAZITO BAADA YA KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME – MWANAHARAKATI MZALENDO

Ukinipa mtoto Tarafanya kazi yako kwa dini zote nitakutangaza kama chini, Patrick nisamehe kwa kukulaumu ni Uchungu Maneno ya @munalove100 baada ya kujifungua mtoto wake wa kiume ambaye amempa jina ‘Testmony’, Kumbuka July 2018 Muna alimpoteza mtoto wake wa kiume ‘Patrick’ ambaye pia amemtaja kwenye ujumbe huu baada ya kujifungua, Muna ameandika, Asante YESU kwanirudishia zaidi ya…

Read More

Vurugu za Benki ya Magharibi Kudhoofisha Kusitisha kwa Gaza: UNRWA – Maswala ya Ulimwenguni

Inakuja siku moja baada ya Kikosi cha Usalama cha Israeli (ISF) kutekeleza safu kadhaa za kudhibitiwa katika Kambi ya Wakimbizi ya Jenin, iliyoko Kaskazini mwa Benki ya Magharibi, na kuharibu maeneo makubwa huko “kwa sekunde ya pili”. UnrwaAlisema Haikupokea onyo la milipuko ya hapo awali “Kama mawasiliano kati ya wafanyikazi na mamlaka ya Israeli hayaruhusiwi…

Read More

TPA yatembeza vipigo SHIMMUTA | Mwanaspoti

Timu za Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) zinazoshiriki michezo ya SHIMMUTA inayoendelea mjini Tanga, zimekuwa moto wa kuotea mbali baada ya kutembeza vipigo mfululizo kwa wapinzani wake wakati mashindano hayo yakiingia raundi ya tatu tangu kuanza kwake. Vipigo kwa wapinzani vilianza kutolewa tangu raundi ya kwanza ya kuanza kwa michuano hiyo, hali iliyoonyesha…

Read More