Mukwala, Aucho watemwa The Cranes

WACHEZAJI Steven Mukwala na Khalid Aucho wameachwa katika kikosi cha nyota 28 wa timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’, kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026, dhidi ya Msumbiji Septemba 5 na Somalia Septemba 8, 2025. Mukwala anayeichezea Simba ametemwa sambamba na Aucho aliyemaliza mkataba wake na Yanga kisha…

Read More

Dhamira ya mwanaharakati mchanga wa Kijapani kushiriki hadithi za walionusurika kwenye bomu la atomiki – Masuala ya Ulimwenguni

Suzuka Nakamura kutoka mji wa kusini mwa Japani wa Nagasaki, ambao pamoja na Hiroshima, ulilengwa na bomu la atomiki mwishoni mwa Vita vya Kidunia vya pili, amedhamiria kuunda jumba la makumbusho kuleta hadithi za hibakusha (walionusurika kwenye bomu la atomiki) kwa jamii zilizo mbali zaidi ya miji hiyo miwili. Bi. Nakamura, ambaye bibi yake alikuwa…

Read More

Wakulima wa parachichi walilia ukaguzi wa mizani

Rungwe. Wakulima wa Parachichi Wilaya ya Rungwe, mkoani Mbeya wameomba Wakala wa Vipimo (WMA), mkoani hapa kuingilia kati na kufanya ukaguzi wa kushtukiza ili kubaini uchakachuzi wa mizani ya kidigitali kutumika kuwaibia. Hatua hiyo imekuja kufuatia malalamiko ya muda mrefu ya wakulima hususani maeneo ya vijijiji kudai wanunuzi kutumia mizani iliyo nembo za mamlaka husika…

Read More

Mwanamke Ahukumiwa Kwa Kula Nauli ya Mwanaume – Video – Global Publishers

Mahakama ya Mwanzo jijini Lagos, Nigeria, imemhukumu mwanamke anayefahamika kwa jina la Jennifer kulipa faini ya ₦450,000 (sawa na zaidi ya Shilingi 730,000 za Kitanzania), baada ya kupatikana na hatia ya kupokea fedha kwa udanganyifu. Kwa mujibu wa kumbukumbu za Mahakama, Jennifer alipokea ₦30,000 (takribani Shilingi 490,000 za Kitanzania) kutoka kwa kijana aitwaye Emmanuel, aliyedai…

Read More

Yule kocha wa Yanga mambo yamemchachia

LICHA ya rekodi tamu aliyoiandika akiwa na Yanga kwa kuipa mataji matatu kwa mpigo, ikiwamo kuifumua Simba kwa mabao 2-0 katika pambano la Dabi ya Kariakoo iliyopigwa Juni 25 na kuwafanya vijana wa Jangwani kutetea taji kwa msimu wa nne mfululizo, hali si shwari kwa kocha Miloud Hamdi. Hamdi aliyeipa Yanga Kombe la Muungano 2025,…

Read More

Chama cha mawakili wa Serikali, TLS ngoma nzito

Dar es Salaam. Chama cha Mawakili wa Serikali (PBA) kimetoa wito kwa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kuzingatia maadili ya taaluma ya sheria na misingi ya ueledi katika kushughulikia changamoto zinazowakabili wanachama wake. Hii ni kufuatia tamko la TLS linalowataka wanachama wake kusitisha kushiriki katika utoaji wa msaada wa kisheria, kama njia ya kushinikiza hatua…

Read More

TAKUKURU Kinondoni Ilivyofuatilia Miradi ya Bilioni Moja – Global Publishers

Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa TAKUKURU Kinondoni, Christian Nyakizee. Dar es Salaam, 2 Septemba 2025: Taarifa iliyowasilishwa leo na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa TAKUKURU Kinondoni, Christian Nyakizee inahusu mafanikio katika utendaji kazi wa TAKUKURU mkoa wa Kinondoni kwa kipindi cha Aprili mpaka Juni 2025 ambapo taasisi hiyo imetekeleza majukumu ya kufuatilia miradi ya maendeleo,…

Read More