WAFUGAJI NCHINI WATAKIWA KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA DAFTARI LA KUPIGA KURA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Mwenyekiti wa wafugaji nchini, Mrida Mshoda, amewahimiza wafugaji kote nchini kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura na kuboresha taarifa zao ili waweze kupata haki ya kushiriki katika uchaguzi. Mrida alitoa kauli hiyo wakati akizungumza wilayani Bunda, mkoani Mara, ambapo alisisitiza kuwa kundi hilo kubwa lina jukumu muhimu la kushiriki…

Read More

AGIZO LA SERIKALI LATEKELEZWA NA  JKT

Mkuu wa Tawi la Utawala JKT na Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiondoa kitambaa tayari kuzindua  jiko la gesi katika Kikosi 825 KJ Mtabila, wilayani Kasulu, Mkoa wa Kigoma. Na Alex Sonna-KASULU VIJIJINI JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limeanza kutekeleza agizo la Serikali la matumizi ya nishati…

Read More

Dabi ya Juni… Yanga 5 Simba 2

LICHA ya kwamba keshokutwa kuna mechi za kukamilishia raundi ya 30 ya Ligi Kuu Bara ambako vinara Yanga wataivaa Dodoma Jiji na Simba itapepetana na Kagera Sugar, akili za mashabiki wengi wa soka ziko katika pambano la Dabi ya Kariakoo la Juni 25. Hiyo ni kutokana na ukweli pambano hilo limeshikilia hatma ya ubingwa wa…

Read More

TUME KUONGEZA BVR VITUO VYENYE WATU WENGI DAR

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele akimkabidhi kadi mpya ya Mpiga Kura Ndg. Abubakari Majuto mkazi wa Mzambarauni Kata ya Gongola Mboto Dar es Salaam ambaye ni mlemavu wa viungo alijitokeza kujiandikisha katika kituo cha Shule ya Msingi Mzambarauni leo Machi 18, 2025.Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa…

Read More

Sagini azungumzia wanafunzi kufeli mitihani ya uwakili

Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Jumanne Sagini ameitaka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST), kutoa mrejesho wa uwezo wa wanafunzi wanaowapokea. Msingi wa kauli hiyo, ni kile alichodai kutoridhishwa na asilimia 59 ya ufaulu wa jumla wa wahitimu wa LST tangu ilipoanzishwa. Tangu kuanzishwa kwa taasisi hiyo, Mkuu wa…

Read More