
RAIS MWINYI AREJEA ZANZIBAR – MWANAHARAKATI MZALENDO
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti Wa Baraza la Mapinduzi Mhe, Dk.Hussein Ali Mwinyi amerejea Zanzibar, baada ya kumaliza ziara yake nchini Indonesia na kushiriki katika Sherehe za Miaka 50 ya siku ya Ushindi nchini Msumbiji. Dk.Mwinyi amepokelewa na Makamu wa Pili wa Rais Mhe Hemed Suleiman Abdulla pamoja na Viongozi wengine wa Serikali, Chama Cha…