Beki azichonganisha Azam, Ihefu | Mwanaspoti

AZAM FC imeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba mpya beki kiraka, Natahaniel Chilambo lakini wakati hilo likitokea, Ihefu imeibuka ghafla na kuonyesha nia ya kumhitaji mlinzi huyo wa zamani wa Ruvu Shooting. Uongozi wa Ihefu unafahamu fika kuwa mkataba wa Chilambo na Azam FC utafikia tamati mwishoni mwa msimu huu hivyo kikanuni inaruhusiwa kufanya mazungumzo naye…

Read More

Stars ni kufa au kupona Afcon 2025

Tunaitaka Afcon 2025. Hiyo ni kauli ya Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’ akielezea namna alivyokiandaa kikosi kwa ajili ya mchezo dhidi ya Guinea. Taifa Stars leo itacheza mchezo wa mwisho wa kufuzu Afcon 2025 dhidi ya Guinea kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam utakaoanza saa 10:00 jioni. Ni mchezo…

Read More

Iran yashambulia hospitali Israel, yenyewe yalipua mtambo wa nyuklia

Tel Aviv. Kombora lililorushwa kutoka Iran limelenga jengo la hospitali kuu iliyopo kusini mwa Israel na kusababisha majeruhi kadhaa, huku yenyewe ikijibu kwa kushambulia mtambo wa urutubishaji nyuklia. Mamlaka nchini humo zimethibitisha kuwa Iran imefanya shambulio hilo asubuhi ya leo Alhamisi Juni 19, 2025, huku taarifa zikisema bado tathmini ya madhara zaidi yaliyosababishwa na kombora…

Read More

Shambulizi la Russia laua wanne Ukraine, 16 wajeruhiwa

Kyiv. Jeshi la Russia limetekeleza mashambulizi ya anga kwa kutumia ndege zisizo na rubani (droni) na kombola la ‘balistiki’ katika Mji wa Kryvyri nchini Ukraine na kusababisha vifo vya watu wanne, huku 14 wakijeruhiwa. Shirika la habari la Associated Press limeripoti kuwa mashambulizi hayo ya Russia nchini Ukraine yametekelezwa usiku kucha wa kuamkia leo Alhamisi…

Read More

Ajira 203,280 zazalishwa Zanzibar | Mwananchi

Unguja. Katika kipindi cha miaka minne Zanzibar imezalisha ajira 203,280 zilizo rasmi na zisizo rasmi ndani na nje ya nchi. Ajira hizo ni sawa na asilimia 68 ya ajira 300,000 zilizoahidiwa na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi alipoingia madarakani Novemba 2020. Hayo yameelezwa jana na Waziri Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Shariff…

Read More

UBIA WA BARRICK NA TWIGA WAZIDI KUSTAWISHA UCHUMI NA THAMANI YA PAMOJA NCHINI TANZANIA

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari Julai 7,2025 katika Mgodi wa Barrick Bulyanhulu – Picha : Kadama MalundeRais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari Julai 7,2025 katika Mgodi wa Barrick Bulyanhulu. *Serikali imepongeza uwekezaji mkubwa uliofanywa na Kampuni…

Read More