
NAIBU WAZIRI SANGU AITAKA MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO KUWAUZA VIJANA WABUNIFU WA TEHAMA
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhr.Deus Sangi akizungumza wakati akifunga mafunzo kwa vitendo kwa Wanafunzi 65 wa Vyuo Vikuu mbalimbali yaliyofanyika kwa kipindi cha muda wa wiki kumi katika Kituo cha Ubunifu na Utafiti cha eGA kilichopo jijini Dodoma Na.Lusungu Helela-Dodoma Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti…