TPF Net GALA YAPAMBA MOTO-SONGWE.

Na Issa Mwadangala Askari Polisi wa kike Mkoani Songwe wajidhatiti kuendelea kiuchumi na kuwa na afya bora ya akili na mwili kwa kufanya semina, sherehe na midahalo mbalimbali ili kuendelea kujiimarisha kiuchumi. Kauli hiyo imetolewa Aprili 22, 2025 na Mwenyekiti wa Mtandao wa Polisi Wanawake Mkoa wa Songwe (TPF- Net) Mkoa wa Songwe Kamishina Msaidizi…

Read More

Mkuu wa UNRWA – Maswala ya Ulimwenguni

Bwana Lazzarini alitoa maoni hayo katika media ya kijamii postambayo alibaini kuwa kuzingirwa, ambayo inazuia chakula, dawa, maji na mafuta kuingia katika eneo la Palestina, imedumu kwa muda mrefu kuliko vizuizi vilivyowekwa wakati wa awamu ya kwanza ya vita. Unrwa Mkuu alisema kwamba watu huko Gaza hutegemea uagizaji kupitia Israeli kwa maisha yao. “Kila siku…

Read More

…Samia ampa tano | Mwanaspoti

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewapongeza wachezaji wa gofu wa kike wa Tanzania kwa kuendelea kuipeperusha vyema bendera ya nchi nje ya mipaka yake huku akiahidi kuleta kocha wa kigeni kwa ajili ya kuifundisha timu ya Taifa. Hayo yalisemwa na Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Damas Ndumbaro kufuatia mchezaji nyota wa Tanzania, Madina…

Read More

Mwarobaini wa utoro shuleni | Mwananchi

Dodoma. Utoro unatajwa kuwa mojawapo ya sababu kuu za matokeo mabovu ya wanafunzi wanaomaliza shule za msingi na sekondari. Taarifa mbalimbali kutoka serikalini zinaonyesha bado kuna tatizo kubwa la utoro shuleni, ambapo idadi kubwa ya wanafunzi wanashindwa kumaliza masomo huku darasa la nne likitajwa kuongoza kwa wanafunzi watoto wanaoacha masomo. Taarifa ya Ofisi ya Rais-Tamisemi …

Read More

KAMATI ZA MAAFA WILAYA ZATAKIWA KUWEKA MIPANGO YA DHARULA

Na Mwandishi wetu-SIMIYU Serikali imezitaka Kamati za Usimamizi wa Maafa Ngazi ya Wilaya kuhakikisha zinajiandaa kikamilifu na kuweka mpango wa dharula wa utendaji na uratibu wa mawasiliano katika kukabiliana na maafa kwenye maeneo yao. Maagizo hayo yametolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga, wakati akifungua mafunzo kwa…

Read More

Alichosema Lissu kuhusu Mchungaji Msigwa kutimkia CCM

Dar es Salaam. Siku chache tangu Mchungaji Peter Msigwa kutimkia Chama cha Mapinduzi (CCM), Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu ameeleza kusikitishwa na uamuzi huo akisema: “Kwa kujiunga na maadui zangu wa kisiasa, sasa nitalazimika kukutana naye kama hasimu wake wa kisiasa.” Lissu amesema hayo leo Jumanne Julai 2, 2024 ikiwa ni siku nne…

Read More

Unaukumbuka ugali wa Yanga? | Mwananchi

Dodoma. Kutokana na baa la njaa katika miaka ya 1974 hadi 1975, Watanzania walilazimika kula ugali uliotokana na mahindi ya njano kutoka Marekani. Ukapewa jina ugali wa yanga. Ugali wa yanga ni moja ya masimulizi ya kipekee katika historia ya Tanzania, ambapo jina hili maarufu lilitokana na uhusiano wa rangi ya njano ya unga huo …

Read More

DAWA YA MUME MWENYE GUBU NDANI YA NYUMBA!

Dawa ya mume mwenye gubu ndani ya nyumba By Ngilisho Tv  Ndoa ama mahusiano bila ya mapenzi huwa si hayaendi mbali kwani mapenzi huwa kiini cha umoja na mshikamano. Wapenzi kwenye mahusiano hupaswa kuwajibika na kuelewana kwa wakati wowote ili kuwezesha mahusiano kuwa yenye matamanio. Tulikuwa tumefunga ndoa na mume wangu ambapo mwaka mmoja ulikuwa…

Read More