Geita Gold yampa mzuka Josiah

PAZIA la Ligi ya Championship msimu wa 2024/2025 linafunguliwa kesho huku wageni wa michuano hiyo, Geita Gold wakianzia nyumbani Nyankumbu dhidi ya TMA ya Arusha saa 8:00 mchana, huku Kocha Mkuu wa timu hiyo, Amani Josiah akitamba kuanza vizuri. Geita Gold inashiriki michuano hiyo baada ya kushuka daraja kutoka Ligi Kuu Bara msimu uliopita, ina…

Read More

BENKI KUU YATANGAZA KIWANGO CHA RIBA KUBAKI ASILIMIA SITA

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania(BoT), Emannuel Tutuba,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitoa taarifa ya kamati ya fedha  leo Oktoba 3,2024 jijini Dodoma. Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania(BoT), Emannuel Tutuba,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitoa taarifa ya kamati ya fedha  leo Oktoba 3,2024 jijini Dodoma. Waandishi wa habari…

Read More

MFANYABIASHARA MAARUFU MONABAN ASIMIKWA KUWA ASKOFU DAYOSISI YA ARUSHA KANISA LA K.K.A.M

Na Pamela Mollel,Arusha Mhashamu Baba Askofu Mkuu wa kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (K.K.A.M)Oscar Ulotu amemsimika rasmi Dkt.Philemon Mollel,mfanyabishara maarufu(Monaban) kuwa Baba Askofu Mteule wa Dayosisi ya Arusha Baba Askofu Mollel amesimikwa Machi 23,2025 kwenye ibada maalum iliyofanyika katika kanisa la K.K.A.M Mto wa Mbu-Kigongoni Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha Ibada hiyo imehudhuriwa na viongozi…

Read More

Raja yamtibulia Nabi, yabeba taji kininja

UKISIKIA kunyang’anywa tonge mdomoni ndiko huku, baada ya Raja Casablanca kubeba ubingwa wa Ligi Kuu ya Morocco (Batola) uliokuwa unaonekana wazi upo mikononi mwa FAR Rabat inayonolewa na kocha wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi. Nabi na FAR Rabat waliongoza Ligi hiyo kwa muda mrefu kabla ya mambo kutibuka baada ya Raja kuanza kula viporo vyake…

Read More

Bashungwa ataka malalamiko ya wananchi kufanyiwa kazi na mfumo wa utoaji taarifa kuboreshwa.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa (Mb) ameiagiza Menejimenti ya Wizara ya Mambo ya Ndani kusimamia Kitengo kinachoshughulikia Malalamiko yanayotolewa kwa Wizara, Taasisi na Vyombo vya Usalama kuhakikisha wanayafanyia kazi na kutoa mrejesho wa utatuzi wa malalamiko kwa Wananchi. Aidha, Bashungwa amevitaka Vitengo vya Mawasiliano na Habari vya Wizara, Vyombo vya Usalama…

Read More

Dar, Pwani zakosa maji kwa saa 48

Dar es Salaam. Wakati wakazi jijini hapa na Pwani wakieleza maumivu wanayopitia kwa kukosa maji kwa zaidi ya saa 48, Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) imesema tatizo limekwisha na huduma imerejea tangu saa tatu asubuhi leo Jumapili, Juni 23, 2024. Katika maeneo mengi ya Dar es Salaam na…

Read More

Serikali kutambulisha leseni mpya ya uzalishaji wa chumvi

Dodoma. Serikali ipo mbioni kutambulisha leseni mpya ya uzalishaji wa chumvi ili kuiondoa bidhaa hiyo katika kundi la madini mengine hivyo, kuchochea ukuaji wa tasnia ya uzalishaji chumvi nchini Tanzania. Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma wakati wa kikao kazi cha Waziri wa Madini, Anthony Mavunde na uongozi wa Chama cha Wazalisha Chumvi Tanzania (Taspa), ambacho…

Read More