Shahidi adai picha ya Rais, nembo ya Brela zilimshawishi awekeze kampuni ya Vanilla
Dar es Salaam. Shahidi wa 23 wa upande wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Simon Mkondya, maarufu Dk Manguruwe na mwenzake Rweyemamu John, amedai alishawishika kuwekeza Sh10 milioni katika kampuni hiyo akiamini ni halali. Shahidi huyo, Roselyn Kakolo, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Machi 17, 2026 kuwa alivutiwa kuwekeza baada ya…