Ishu ya Aziz KI, Yanga.. yamuibua Gamondi

MASHABIKI wa Yanga wamepata presha ya ghafla wakati wenzao wa Simba wanacheka, huku wakiomba dua mbaya kiungo Stephanie Aziz KI aondoke Jangwani, lakini kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi ameibuka akisema “nimkute Avic haraka”. Hilo limekuja baada ya Rais wa Yanga, injinia Hersi Said akiwa nchini Afrika Kusini kuviambia vyombo vya habari hatma ya Aziz…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Wazungu walituachia Inaki wakamchukua Nico wao

RAFIKI zetu Wachina sio watu wanafiki sana. Wana bidhaa zao huwa wanatengeneza kwa ajili ya Afrika, halafu wana bidhaa wanatengeneza kwa ajili ya Wazungu wa mataifa yaliyoendelea. Bidhaa zenye ubora zaidi. Watoto wetu wanaozaliwa Ulaya wakati mwingine wanajikuta kama bidhaa tu. Kuna bidhaa zenye ubora zinabaki kwao, halafu kuna bidhaa ambazo wanaleta Afrika. Mara chache…

Read More

Pamba Jiji hesabu za siku 22

LIGI Kuu Bara itasimama kwa wiki mbili kupisha mechi za timu za taifa na mashindano ya klabu barani Afrika, huku Pamba Jiji ikipanga kuzitumia siku takribani 22 za mapumziko hayo kuboresha kikosi chake na kucheza mechi za kirafiki. Pamba Jiji ambayo ilicheza mechi yake ya mwisho Agosti 24, mwaka huu itarejea tena dimbani Septemba 15…

Read More

Katika jamii yenye utulivu kwenye makali ya Doha, Gaza waliojeruhiwa na yatima hujifunza kuponya – maswala ya ulimwengu

Wakati Annalena Baerbock, rais wa Mkutano Mkuu wa UN (PGA), alipotembelea eneo hilo Jumatatu alasiri, jua lilikuwa likianza kulainisha mahali ambayo imebadilishwa. Habari za UN aliandamana na ziara hiyo, akiangalia mikutano yake na familia, watoto na wafanyikazi wanaowaunga mkono. Mara tu imejengwa kuwakaribisha mashabiki wa mpira wa miguu wakati wa Kombe la Dunia la 2022,…

Read More

Malisa ataka kesi yake ipelekwe mahakamani

Moshi. Mwanaharakati na Mkurugenzi wa GH Foundation, Godlisten Malisa ameendelea kuripoti katika ofisi za Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kilimanjaro (RCO) kutokana na tuhuma za uchochezi zinazomkabili. Malisa amesema amejipanga kukabiliana na tuhuma hizo na anataka kesi yake ipelekwe mahakamani. Ikiwa ni mara ya pili sasa, leo Juni 27, 2024, Malisa ameripoti kituoni hapo baada…

Read More

Viongozi Simba, Yanga wawekwa kando uteuzi CCM

Rais wa Yanga, Hersi Said pamoja na mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu ni kati ya watia nia ambao wamewekwa kando kugombea nafasi ya ubunge. Mangungu alikuwa ameomba kugombea kupitia Jimbo la Kilwa, huku Hersi akiomba kupitia jimbo la Kigamboni jijini Dar es Salaam. Wakati hawa wakiwekwa kando Makamu wa Rais wa zamani wa Shirikisho la…

Read More

Madiwani Simanjiro walia fidia ndogo inayotolewa na Tawa

Simanjiro. Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wamelalamikia fidia kidogo wanayopata kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori nchini (Tawa), wanapopata  majanga mbalimbali yanayosababishwa na wanyamapori. Hayo yamesemwa leo Jumatatu Septemba 2, 2024 na madiwani hao katika kikao cha Baraza la Madiwani. Alikuwa ni Diwani wa Naisinyai, Taiko Kurian Laizer ambaye amesema baadhi…

Read More