Ulaji wadudu unavyopata umaarufu | Mwananchi

Dar es Salaam.  Katika dunia inayokabiliwa na changamoto za uhaba wa chakula na lishe duni, wataalamu wa afya na lishe wameendelea kuangazia ulaji wa wadudu kama suluhisho mbadala lenye manufaa makubwa kiafya.  Ingawa kwa baadhi ya jamii ulaji wa wadudu bado huonekana kuwa jambo geni, ukweli ni kwamba kwa muda mrefu wadudu wamekuwa sehemu ya…

Read More

SERIKALI YA AUSTRIA KUFADHILI MIRADI YA UMEME TANZANIA

  …………………. 📌 Ni inayozalisha umeme kutokana na Jua; Takataka 📌 Ufadhili huo ni kupitia Benki ya UniCredit ya Austria 📌 Serikali ya Tanzania yaahidi ushirikiano Serikali ya Austria kupitia Benki ya UniCredit  imeahidi kuipatia fedha Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kiasi cha Euro Milioni 20 sawa na takribani Shilingi bilioni 60 kwa…

Read More

Bado Watatu – 33 | Mwanaspoti

HAKUMALIZA sentensi yake akaninyooshea mkono wake na kukikunjua kiganja alichokuwa amekifumba. Akanionyesha kitu alichokuwa amekishika.Kilikuwa funguo ya gari la Shefa!“Hizi funguo ni za gari la Shefa na nimezikuta ndani ya pochi yako humu chumbani.”Mshituko nilioupata ulinifanya nitwete kama niliyekuwa nafukuzwa. Kumbe mume wangu aliichukua ile pochi na kuifungua, ndiyo maana niliikuta kitandani wakati mimi mwenyewe…

Read More

Jukwaa la usafiri mtandaoni lawafariji watoto yatima Dodoma

Dar es Salaam. Wawakilishi wa jukwaa jipya la usafiri wa kukodi mtandaoni, Maxim, wametembelea kituo cha watoto yatima cha Tumaini Foundation kilichopo jijini Dodoma, na kutoa msaada wa chakula unaotarajiwa kudumu kwa miezi miwili hadi mitatu kwa watoto zaidi ya 150 wanaolelewa kituoni hapo. Ziara hiyo haikulenga salamu za kawaida wala kupiga picha za kumbukumbu…

Read More

Huduma jumuishi za kifedha zaipa BoT tuzo ya kimataifa

Dar es Salaam. Utekelezaji wa matumizi ya mfumo wa malipo ya papo kwa papo (TIPS) na matumizi ya msimbo namba (QR code) unaofahamika kama TANQR, umetajwa kuwa sababu ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutunukiwa tuzo kuu ya ubunifu katika huduma jumuishi za fedha. Tuzo hiyo ijulikanayo kama Nestor Espenilla Jr. Financial Inclusion Innovation Award,…

Read More

Kisa Mayele, Dube aingia anga za Wasauzi

UONGOZI wa Kaizer Chiefs ya Afrika ya Kusini, umeanza kumfuatilia mshambuliaji nyota wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga, Mzimbabwe, Prince Dube, ambaye mkataba wake na kikosi hicho unafikia tamati mwishoni mwa msimu huu. Taarifa kutoka Afrika Kusini zinaeleza kuwa mabosi wa timu hiyo wanaangalia uwezekano wa kumpata mshambuliaji huyo, baada ya kupata ugumu…

Read More

Tausi Royals, Dar City zakoleza ushindani BDL

WAKATI Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikifikia hatua ya nusu fainali, inaonyesha timu ya Tausi Royals na Dar City ndizo zilizofanya ushindani wa ligi hiyo uongezeke. Ushindani huo umetokana na usajili mzuri uliofanywa na timu hizo na kufanya timu nyingine ziongeze jitihada zaidi. Hata hivyo, licha ya timu ya Tausi Royals…

Read More