Anayeandikia miguu awezeshwa kuendelea kidato cha tano

Morogoro. Hamis Nguku, mwanafunzi mwenye ulemavu wa viungo ambaye amekuwa anatumia miguu kuandika, kula, na kufanya shughuli zake nyingine, ameishukuru kampuni ya Mwananchi Communication Limited (MCL) kwa kurusha habari zake, ambazo zilipelekea kupata mfadhili aliyemnunulia mahitaji muhimu ya shule. Nguku, ambaye ni mkazi wa Mlimba katika Halmashauri ya wilaya ya Kilombero, alipata ufadhili kutoka kwa…

Read More

Bei za petroli, dizeli zapaa Februari

Dar es Salaam. Watumiaji wa vyombo vya moto watatakiwa kuongeza bajeti za ununuzi wa mafuta kwa ajili ya vyombo vyao baada ya bei kikomo za mafuta kuongezeka. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) leo Februari 5, 2025, bei ya petroli kwa rejareja katika Jiji la…

Read More

Kocha Liogope katabiriwa makubwa huko

KOCHA wa Mtibwa Sugar, Melis Medo amemtabiria makubwa rafiki yake, Kassim Liogope ambaye anaongoza benchi la ufundi kwa muda la Azam FC wakati mchakato wa matajiri hao kushusha mrithi wa Youssouph Dabo ukiendelea. Liogope ni kocha mpya wa vijana wa Azam FC baada ya kuondoka kwa Mohammed Badru. Msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara 2023/24…

Read More

Pamba yarejea Ligi Kuu Bara baada ya miaka 22

TP Lindanda wana Kawekamo timu ya Pamba Jiji FC imerejea tena Ligi Kuu Bara na kuwakata kiu mashabiki wa soka wa Jiji la Mwanza ambao wamesubiri kwa zaidi ya miaka 20, huku kocha Mbwana Makatta akiandika historia ya kuzipandisha daraja timu nne ndani ya misimu saba. Mabingwa hao wa Ligi ya Muungano mwaka 1990 wamerejea…

Read More

MO Dewji atoa kauli nzito Simba kupelekwa Zanzibar

RAIS wa klabu ya Simba, Mohamed ‘MO’ Dewji, ametoa kauli nzito kuhusiana na mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kupelekwa kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar, humu akiwahamasisha wanasimba kwamba mnyama atanguruma popote na Jumapili itabeba ndoo. Simba inatarajiwa kurudiana na RS Berkane ya Morocco Jumapili ya Mei 25 baada ya…

Read More

Raizin azichonganisha Kagera, Pamba FC

MSHAMBULIAJI wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh ameziingiza vitani Kagera Sugar na Pamba Jiji ambazo zimeonyesha nia ya kuihitaji saini ya nyota huyo, dirisha dogo la usajili litakapofunguliwa rasmi Desemba 15, mwaka huu. Akizungumza na Mwanaspoti, Raizin mwenye mabao manane na kikosi hicho, alisema ni kweli timu hizo zinamhitaji ingawa hawezi kuzungumza chochote juu ya hilo,…

Read More

MAMIA KUSHIRIKI KONGAMANO LA WADAU WA MICHEZO WANAWAKE JIJINI ARUSHA

Na Seif Mangwangi,Arusha KUELEKEA maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Machi 8,2025 wadau wa michezo nchini zaidi ya 150 wanatarajiwa kushiriki kwenye kongamano la Wanawake lililoandaliwa na waandaaji wa tamasha la Tanzanite Samia women’s sports. Kongamano hilo ambalo limeandaliwa kwa ushirikiano na Baraza la Michezo la Taifa nchini, (BMT) lina lengo la kuhamasisha ushiriki wa…

Read More