KAMPENI YA PIKA SMART INAYOHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAZINDULIWA

……………………. Kamishna Luoga asisitiza matumizi ya umeme katika Nishati Safi ya Kupikia Kamishina wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga amezindua kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ya umeme inayokwenda na kaulimbiu ya PIKA SMART. Mha. Luoga amezindua kampeni hiyo leo Juni 13, 2025 jijini Dar es Salaam akimwakilisha…

Read More

OKTOBA KURA ZOTE KWA RAIS DK. SAMIA

……………. Na Mwandishi Wetu, TANGA Kazi nzuri na miradi tele ya maendeleo iliyotekelezwa katika Jimbo la Tanga Mjini imetengeneza deni kwa wananchi wa Tanga Mjini dhidi ya Rais Dk. Samia Suluhu ambaye pia ni Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba,…

Read More

Mbulu yatumia Sh204 bilioni kwa maendeleo

Mbulu. Wilaya ya Mbulu imetumia Sh204 bilioni kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ya elimu, afya na maji, katika kipindi cha miaka minne ya utawala wa Serikali ya awamu ya sita. Mkuu wa Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, Michael Semindu, ameyasema hayo leo Aprili 5, 2025 wakati akisoma taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi…

Read More

Freddy afunika Zambia akiwa Simba

Mshambuliaji wa Simba, Fred Kouablan ameibuka mfungaji Bora wa Ligi Kuu Zambia lakini akiwa nje ya Ligi hiyo kwa muda mrefu. Kouablan, ameibuka kinara wa mabao Zambia kwa mabao yake 14 ambayo hakuna mchezaji aliyeifikia licha ya straika huyo kuondoka nchini humo tangu Januari kwa ajili ya kujiunga na Simba. Na baada ya kutua Simba,…

Read More

WANAKC,WANAGDSS WATAKIWA KUPAZA SAUTI KUELIMISHA JAMII KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM VITUO vya Taarifa na Maarifa (KC) na wanaGDSS wametakiwa kupaza sauti zao kuhakikisha jamii inapata uelewa mkubwa na kuweza kujitokeza kujiandikisha kwneye daftari la kudumu la wapiga kura ili kuweza kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Vilevile wametakiwa kutengeneza ajenda ambayo itasukuma jamii kujitokeza kwenye uchaguzi wa Serikali…

Read More

Kiu ya haki inavyompatia Madeleka mamilioni

Dar es Salaam. Hatua ya baadhi ya wananchi kujitokeza na kumchangia mamilioni ya Shilingi Wakili maarufu, Peter Madeleka kwa ajili ya kuendelea na kesi ya anayetajwa ‘afande’ jijini Dodoma, imeelezwa kuwa inaonyesha kiu ya haki ilivyo kubwa miongoni mwa wananchi. Shauri hilo la malalamiko namba 23627 dhidi ya Fatma Kigondo anayetajwa kama ‘Afande’, lilifunguliwa na…

Read More

Wataalamu elimu kujifunza teknolojia mpya

Dar es Salaam. Katika kuhakikisha mpango wa kuwa na mkondo wa elimu ya amali kwa shule za sekondari na vyuo vya elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi unatekelezeka, Tanzania imeweka mkakati wa kuimarisha uhusiano na mataifa yaliyoendelea kwenye teknolojia. Hatua hiyo itawezesha watalaamu wa ndani kujifunza teknolojia mpya zinazotumika kwenye elimu ya ufundi…

Read More

Vijana tumieni mitandao kuzungumza mazuri ya serikali.

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Rehema Sombi Akiwa Mkoani Geita amewataka vijana waendelee kuwa watumiaji wazuri wa mitandao ya kijamii haijalishi ni aina gani ya mtandao ya Kijamii wanayo tumia. Sombi ametoa kauli hiyo wakati akifungua kambi la Vijana la umoja huo katika kijiji cha Namonge Wilaya ya…

Read More