Mmiliki mabasi ya Sauli afariki ajalini Mlandizi

Kibaha. Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Sauli, Solomon Mwalabhila amefariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea Mlandizi mkoani Pwani. Akizungumza na kwa njia ya simu na Mwananchi Digital  leo Agosti 4, 2024  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani,  Pius Lutumo amesema Mwalabhila amefariki leo baada ya gari lake kugongwa kwa nyuma na lori la…

Read More

Boban, Redondo wana jambo lao Arusha

NYOTA mbalimbali waliowahi kucheza kwa mafanikio makubwa katika michuano ya Kombe la Klabu za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) wakiwamo Haruna Moshi ‘Boban’, Abdallah Kibadeni, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ na wengine wana jambo lao jijini Arusha kuanzia kesho Ijumaa. Nyota hao na wale wa klabu za nchi za Kenya, Uganda na Rwanda wanatarajiwa kuchuana katika michuano…

Read More

DK.JAFO ASEMA SERIKALI IMEWEKA MAZINGIRA MAZURI YA KUFANYA BIASHARA,AAGIZA UJENZI VIWANDA 30

WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dk.Selemani Jafo amesema Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi ya kufanyia biashara kwa kufanya uwekezaji ikiwa ni pamoja na kuboresha miundombinu mbalimbali ya usafirishaji pamoja na sekta ya Kilimo. Dk.Jafo ameyasema hayo Septemba  10,2024 na Waziri wa Viwanda na Biashara, Seleman Jafo,wakati akifunga maonesho ya 19, ya Afrika Mashariki yanayofanyika uwanja…

Read More

Idadi ya vifo vya mama wajawazito vyapungua Manyara.

Idadi ya Vifo vya wanawàke wajawazito Mkoani Manyara imepungua kutoka vifo 49 mwaka 2022 hadi kufikia vifo 24 kwa mwaka 2024. Hayo Yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa Wa Manyara Queen Sendiga wakati wa Kikao cha kutafuta uendelevu wa mfumo wa M MAMA Mkoani Hapo,Ambapo mfumo huu unatekelezwa na serikali kushirikiana wa wadau vodaphone foundation,Touch foundation…

Read More

JKT yaongeza mahanga kwa vijana

Kigoma. Jumla ya vijana 14,100 watapatiwa nafasi katika mahanga 141 yaliyojengwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kurekebisha mahanga ili waweze kuchukua vijana wengi zaidi. Itakumbukwa wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya JKT, Rais Samia aliitaka Wizara ya Ulinzi kuandaa mpango mkakati wa…

Read More