Rais Samia ateua wenyeviti wa bodi

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa  viongozi mbalimbali wa wenyeviti wa bodi na kumuongezea muda Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (Tafiri). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka, Dk Ismael Aaron Kimirei ameteuliwa kushika wadhifa  katika kipindi cha pili. Naye Balozi Ernest…

Read More

INEC yatangaza majimbo mapya manane 

Dodoma. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza majimbo mapya nane na hivyo kufanya jumla ya majimbo ya uchaguzi kufikia 272. Aidha, INEC imeongeza idadi ya kata tano na hivyo kufanya idadi zitakazofanyika uchaguzi mkuu kufikia kata 3,960. Mchakato wa kupokea maoni ya kubadilisha na kugawanywa kwa majimbo ya uchaguzi na kata za uchaguzi…

Read More

Mradi wa taka kuwa mali waanzishwa Morogoro

Morogoro. Shirika la Maendeleo ya Jamii la DDSCDD na shirika lisilo la kiserikali la Norwegian Church Aid (NCA) kwa kushirikiana na Manispaa ya Morogoro wameanzishwa mradi wa kuzibadili taka kuwa bidhaa za thamani. Mradi huo unaohusisha makumi ya vijana wa Manispaa ya Morogoro ulizinduliwa Alhamisi Agosti 22, 2024 kwa vijana kukabidhiwa kiwanda kidogo cha kuchakata taka…

Read More

LONGIDO WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA ELIMU YA FEDHA KUKUZA UCHUMI

Na. Saidina Msangi, WF, Longido, Arusha. Wananchi Wilayani Longido wamehimizwa kutumia fursa ya elimu ya fedha katika kuhakikisha kuwa wanapanga mipango ya biashara mapema ili kuweza kutumia vema mikopo inayotolewa na Serikali kupitia kila Halmashauri ili kujikwamua kiuchumi. Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Longido Mhe. Salum Kalli, alipokuwa akifungua mafunzo ya elimu…

Read More

TANZANIA, MISRI YAENDELEZA MAKUBALIANO SEKTA YA AFYA

  Na. WAF – Dodoma Serikali ya Tanzania na Misri ziliingia mkataba wa makubaliano kati ya Wizara ya Afya na Shirika la ALAMEDA Healthcare Group Oktoba, 2022 ili kushirikiana katika nyanja ya Afya hasa upande wa huduma za kimatibabu kwa kubadilishana uzoefu, usimamizi wa hospitali na matibabu ya wagonjwa wa Kimataifa. Waziri wa Afya Mhe….

Read More

RAIS DKT.MWINYI KUZINDUA OFISI NA MAABARA YA TEKNOLOJIA YA NYUKLIA ZANZIBAR

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda,akizungumza na waandishi wahabari leo Novemba 7,2024 jijini Dodoma kuhusu uzinduzi wa Ofisi na maabara za Tume  ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) zilizojengwa eneo la DungaZuze Zanzibar  Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Kipanga,akizungumza na waandishi wahabari kuhusu uzinduzi wa Ofisi na maabara…

Read More