Msikie Fadlu kuhusu Manula, Camara

BAADA ya makipa wa Simba, Aishi Manula na Moussa Camara kuuwasha moto katika mechi za kufuzu Afcon 2025, kocha wa kikosi hicho, Fadlu Davids amebainisha kuwa kuna kazi kubwa katika kuwania namba ndani ya timu hiyo. Juzi Jumanne, Fadlu alikuwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kushuhudia mchezo wa Kundi H la kuwania…

Read More

Lori lililoanguka lazua foleni Mikumi usiku kucha

Mikumi. Abiria wa mabasi na watumiaji wengine wa vyombo vya moto wamekwama katikati ya Mbuga ya Mikumi, Barabara ya Morogoro – Iringa kwa zaidi ya saa saba kutokana na lori kuanguka barabarani. Foleni ilianza saa saba usiku wa kuamkia leo Juni 14, 2025 hadi alfajiri, kukiwa na magari zaidi ya 100 yaliyokwama, abiria na madereva…

Read More

Wadau wa biashara kujadili mifumo ya serikali kusomana

  WADAU zaidi ya 300 waliopo kwenye mnyororo wa urasimishaji biashara nchini, kutoka taasisi za umma, sekta binafsi, taasisi miamvuli, wafanyabiashara, wanazuoni, wajasiriamali na mawakili, wanatarajiwa kujadili fursa, changamoto na mafanikio ya mifumo ya biashara. Anaripoti Restuta James, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa iliyotolewa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela), kwa…

Read More

Waziri Mkuu kuongoza majaribio SGR Dar-Dodoma Aprili 21

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuongoza safari ya majaribio ya treni ya reli ya kisasa (SGR) itakayofanya safari kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma ikiwa na watu takriban 600. Majaribio hayo yatafanyika Aprili 21, 2024.  Katika treni hiyo Majaliwa ataambatana na viongozi wa Serikali, dini na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenda Dodoma…

Read More

Vituo vya kulelea watoto vina sifa?

Katika kipindi cha maendeleo ya awali ya mtoto, elimu kwa watoto wadogo wenye umri wa miaka 0-2 ni muhimu. Katika hatua hii, mtoto anajenga misingi ya kukua kihisia, kujenga lugha, na kujiendeleza kijamii, ambapo mara nyingi stadi hizi hupatikana katika mazingira ya nyumbani chini ya usimamizi wa wazazi na walezi. Hata hivyo, ukatili dhidi ya…

Read More

DKT SAMIA KUTOA ZAIDI YA BILIONI 1.6 KILA MWAKA ILI VIJANA WA KITANZANIA KUPATA MAFUNZO YA UFUNDI STADI VETA MKOA WA DODOMA.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Kaimu Mkurugenzi wa Chuo Cha Ufundi Veta Kanda ya Kati Bwana Mataka Ramadhani Mataka akieleza mafanikio ya Miaka mitatu ya Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Raisi huyo anatoa zaidi ya Shilingi Bilioni 1.6 kila mwaka kwa Veta Mkoa wa Dodoma ili Vijana wa Kitanzania waweze kupata mafunzo ya ufundi…

Read More